Unosofa zilizo choka(chakaa)

fakifuge2000

Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
46
Reaction score
11
SISI ni mafundi wa kutengeneza sofa na kwa wale wanaotaka kubadilisha cover ya sofa tutafanyia nyumbani hapo hapo kwa bei rahisi
 
sijui nikuite kilaza? unatangaza biashara bila ya mawasiliano. unatafuta wateja au unatujulisha kwamba kazi yako ni ya kubadilisha ma sofa yaliyochakaa?
 
sijui nikuite kilaza? unatangaza biashara bila ya mawasiliano. unatafuta wateja au unatujulisha kwamba kazi yako ni ya kubadilisha ma sofa yaliyochakaa?
<br />
<br />
tumwite FundiKiliza2000
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
tumwite FundiKiliza2000
<br />
<br />
ndivyo tunajifunza piga namba 0713303701 ili uweze pata tengenezewa sofa lako lililo chakaa hapo hapo nyumbani kwako kwa bei nafuu
 
Mie nipo Makete, sofa zangu zimechakaa sana. Lini mtakuja kufanya kazi hiyo?
 
Zangu panya wamefanya ndio gesti yao......njoo mara moja hapa Yaeda chini....unirekebishie....
 
&lt;font color=&quot;#800080&quot;&gt;&lt;font size=&quot;4&quot;&gt;&lt;span style=&quot;font-family: comic sans ms&quot;&gt;Zangu panya wamefanya ndio gesti yao......njoo mara moja hapa Yaeda chini....unirekebishie....
wanapiga huduma za infidelity.<br />
From Dar to Dar
short time tu... No fulltime service kama vile vigesti bubu nyuma ya Kona bar Afikasana
 
Wasikuvunje moyo hawa, wengi kwanza sofa zao zimechokaaaa, watakupigia tu subiri. Kila la kheri!
 
kabla ya kutengeneza hiyo gesti ya hao mifugo wako,nashauri nije mie kwanza kutoa huduma ya uzazi wa mpango! manake guest haitatosha watahamia jikoni,afu itakuwa balaa!huduma yangu free,ila uniweke hotel full board na mwenza unitaftie..
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Zangu panya wamefanya ndio gesti yao......njoo mara moja hapa Yaeda chini....unirekebishie....</span></font></font>
<br />
<br />
 
kabla ya kutengeneza hiyo gesti ya hao mifugo wako,nashauri nije mie kwanza kutoa huduma ya uzazi wa mpango! manake guest haitatosha watahamia jikoni,afu itakuwa balaa!huduma yangu free,ila uniweke hotel full board na mwenza unitaftie..

usijali my dear.......viambatanisho vyote vipo......hakikisha unakuja na dawa kali sana......
 
sijui nikuite kilaza? unatangaza biashara bila ya mawasiliano. unatafuta wateja au unatujulisha kwamba kazi yako ni ya kubadilisha ma sofa yaliyochakaa?
Well said
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ndivyo tunajifunza piga namba 0713303701 ili uweze pata tengenezewa sofa lako lililo chakaa hapo hapo nyumbani kwako kwa bei nafuu
<br />
<br />
hivi haya matangazo ya biashara huwa yanalipiwa humu? Mi nadhani lengo la hii forum sio kila anayejisikia kutangaza bidhaa yake afanye hivyo. We'll end up having commercials instead of vacancies. I stand to be criticised!
 
<br />
<br />
soma heading ya hii thread kwanza,halafu ujiulize maana ya nafasi za kazi,maana ya kazi nini?au kazi unayojua ni TRA , BOT VODACOM unakoproduce madagrii yako?huna jamaa ndugu yako atapenda ajifunze ufundi wa makochi ukamuombea kwa jamaa huyo,acha ubinafsi and think broad!!!!!!!!!!!!
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Zangu panya wamefanya ndio gesti yao......njoo mara moja hapa Yaeda chini....unirekebishie....</span></font></font>
<br />
<br />
akitoka kwako muelekeze njia ya kuja mpwapwa arekebisha zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…