klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
kamanda uporoto tego lako limefanikiwa, haya chinja sasa.Uporoto dearest you have been missed!Achana na Kloro anadhani bado anapatikana famasi na mimi namjulisha hata kwa bei ya bure chini ya kaunta hamna anaemtaka!
suala la nyongeza cancelled! lakini kuna point nilitaka kukupa kama ungejibu vere honest.
Yani wewe kila mtu anatega/tegwa?kamanda uporoto tego lako limefanikiwa, haya chinja sasa.
Hayo ya kumuulizia Michelle ni yale ya 'niitie mkeo' hayakubaliki lol!hehehe kamanda JF bila lizzy ni sawa na ugoro bila chafya, yaani hainogi. halaf michelle umempeleka wapi?
Aah wapi Liz nilishamvulia kofia ni mhitimu wa chuo cha sanaa b/moyo ni best yangu tu now lol!kamanda uporoto tego lako limefanikiwa, haya chinja sasa.
hauna huruma lakini una huruma kwa wanao? twisted! by the way there is something about u that i know and u r not even aware of!. naomba rushwa nifafanueKumbe na wewe unapenda kudanganywa ehhh??Ukweli ndo huo...sina huruma mie!
Aah wapi Liz nilishamvulia kofia ni mhitimu wa chuo cha sanaa b/moyo ni best yangu tu now lol!
kamanda unaniangusha aisee! na ile blackmangala imekupiga cha uso nini? mbona hakuna kemistri wala fiziks?Aah wapi Liz nilishamvulia kofia ni mhitimu wa chuo cha sanaa b/moyo ni best yangu tu now lol!
Embu hiyo tuiache!Enhe fafanua alafu ntakupeleka disko jumanne!hauna huruma lakini una huruma kwa wanao? twisted! by the way there is something about u that i know and u r not even aware of!. naomba rushwa nifafanue
hako kadada kamepotea kweli yaani! au tayari kamepata ile likizo ya miezi tisa?Hayo ya kumuulizia Michelle ni yale ya 'niitie mkeo' hayakubaliki lol!
blackbeauty yuko busy uzunguni,niko kwenye foleni ya kikombe cha Mpwapwa siku hizi lol!kamanda unaniangusha aisee! na ile blackmangala imekupiga cha uso nini? mbona hakuna kemistri wala fiziks?
no comment.hako kadada kamepotea kweli yaani! au tayari kamepata ile likizo ya miezi tisa?
nilijua utakuwa excited to know. relax baby! a puzzle dont need a rush.Embu hiyo tuiache!Enhe fafanua alafu ntakupeleka disko jumanne!
nilijua utakuwa excited to know. relax baby! a puzzle dont need a rush.
Hahaha! mbavu zangu jamani miaka ya nyuma nilikuwa nawapeleka wadada naotaka kuongea nao bila bughudha disco la j3/j4 hamna watu kabisa.Liz usikubali ana nia mbaya huyu lol!
Sikusoma vizuri nilidhani comment ya kloro.Eh dearest na wewe pia?Kumbe na mimi ningekukubali nimgeishia huko kuko?Usijali..mi ndo nampeleka Kloro...ukitaka njoo ushuhudie zawadi yake!
papara lako litakukosesha ................... (wahenga walisema). and koz i am enjoying ur excitement so i prefer to keep it for a while. dont hate me thoughEmbu niambie bwana alafu ntaku...!
papara lako litakukosesha ................... (wahenga walisema). and koz i am enjoying ur excitement so i prefer to keep it for a while. dont hate me though
yaani mrembo mchoyo wewe! hata haunikaribishi kulala? khaaa!Haya ngoja nilale zengu we endelea kuenjoy!