#UziTaariMkuu huu ni uzi au comment?
Hata Mimi kabla ya Leo nilidhani Mpole ni Bora lakini Mechi ya Leo imenithibitishia ni mchezaji wa kawaida tu.End of discussion..kama unaangalia hii mechi saivi I think yu no waraimini!
Nobodies can show disrespect to Samata for his achievement but the guy is overrated when he is pitch.Acha kumvunjia heshma Samata.
Goli ni goli,ukifunga kwa mataki au shuti ni goli tumpole anafungaga magoli mepesi mepesi, yaani unashangaa mpira uko nyavuni kwa kick ya kawaida kabisa