UNSERIOUSNESS IN RELATIONS!....i hate it lots

Geoff,let me be out of siz,sitaki kukoment tena unless forced coz umenikumbusha mbali sana tena sana,umenikumbusha machungu,my friend died in my hand on the way to hsp with a pregnacy of 4 month,jamaa kamakataa mbele ya dem tena akiwa kafumaniwa,that was my friend 1st boyfriend,Geoff let me end ea,gud dei.
....I SAID IT!....this is murder!TAKE THIS MEN TO COURT!
 
Nowdays it is bothways.Wanaume hawajatulia na wanawake hawajatulia.Hasa wanawake waliopo maofisini jamani wamezidisha kucheat.Maadili yameporomoka kwa kiasi kikubwa sana.Sijui tutayarudishaje.

wengi wa wanawake wanaofanya hivyo ni wanafanya coz ya "revenge".....nawaona wengi na ukiwauliza kwanini watakupa habari ndefu....watu wanachoka kutendwa.
 
....i am talking of the serious COMMITMENTS!....unajua kuna watu wanawaaproach madada za watu kwa gia za kuwaoa kumbe wanawatumia na ku-wafrustrate!

kuna wengine wanawaoa mabinti za watu then wanaanza kuwafrustrate kwa ku-cheat na kutoka nje!
 

naona avatar yako ni special dedication kwa Geof come 13/2.
 
....humo kny blue.....mwana u said it all! nitakuPM shortly!...kibatani hakitoshi....!

BWT: Mzee wa castle ulikuwa wapi? naona jiiiiiiiiiiiiii
hahahaa, NINAJARIBU KUA BIZE NA MAJUKUMU NA KUA MORE AND MORE SERIOUS, but naponzwa mkuu!!, Geoff hapo itabidi nipinge kidogo, ila tutadiskasi chawote jioni live bila chenga, EVEN WOMEN ARE NOT SERIOUS, ESPECIALLY PALE WANAPOJUA UMEPENDA SANA NA UMEKOLEA.
 
....please stop!i would prefer keep on working rather than throwing my keyboard!....!

PLEASE STOP
 
....LOOK AGAIN!the same men are frustrating every woman!...
i really hate unserious men!if men don't wanna be serious they must DISCLOSE THIS WEAKNESS PRIOR THE AFFAIRS!.....mwambie tu binti wa watu ''mimi siko serious'' ili ajue kinacho


nani mwenye busara hiyo?....
 
pole mydia ,i can feel your pain.
 


haaa Pearl upo kama unataka kuniharibia cku...pole dearest! hebu ona jamani, hebu fikiri jamani!....lakini japo ni mume cfi coz yake, itaniuma nitajikaza nisonge mbele ya wanangu, ndio mana mie nasemaga nikikuta nitaharibu mazima yaani mazima ili anikumbuke maisha yake yote.....
 
wengi wa wanawake wanaofanya hivyo ni wanafanya coz ya "revenge".....nawaona wengi na ukiwauliza kwanini watakupa habari ndefu....watu wanachoka kutendwa.

Hakuna njia nyingine kweli zaid ya revenge? mie naona ni kama unajiumiza mwenyewe zaidi kuliko ku-solve problem.Inabidi kujiuliza,hivi tabia hiyo ya mwanaume kutojali imeanza ghafla au kabla ya ndoa.kama imeanza ghafla tatizo ni nini?au ndo hulka ya wanaume(wameumbwa kucheat).Na kama ilikuwepo kabla ya ndoa kwa nini ulijifunga pingu at the first place?
 
we need a talk then!
lakini utakubali kwamba MEN ARE THE SOURCES OF UNSERIOUSNESSES!hwbu muulize partner wako background yake kabla hamjawa wapenzi....!am telling you YOU WILL BE SHOCKED!....LAZIMA KUNA JITU LIMEMPOTEZEA MUDA
 
ila kweli hiyo ya kujiua too much, no, i will never die coz of man, no sijapenda kiivyo.
 
Kumbe huwa mnajua mnayofanya ? Mi nilikuwaga najua ni sisi tu tunayakuza!!
 
MY TRUE STORY
Kuna kijana mmoja ni mtangazaji wa TBC alimuoa dada yangu 9ambaye nae ni mtangazaji)...baada ya miaka miwili ya ndoa yule kijana alikuwa maarufu sana na akawa na RUNDO LA WANAWAKE!ilifika point akawa harudi kabisa home hata siku tatu!

dada yangu amebwaga manyanga!....ameikimbia ndoa anasema jamaa HAYUKO SERIOUS,NA HAKUJUA KABISA KWAMBA HAKUWA SERIOUS!...hell to the damn
 

kabla ya ndoa ni ngumu sana kujua mambo kiundani, ishu nyingi zinaanziaga baada ya ndoa!
 
sorry sikutaka kukuharibia cku,thats y I said sitaki kukoment tena,i belv nikikupa the whole story u will het men maisha yako yote,niache tu mpz wangu,jamaa akapigiwa cmu kuwa gf kajiua akajibu its beta coz angeendela kuishi angemsumbua in his new relationship n kuanza kulea vitoto vya panya!imagn
 
.....wtf!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…