i hope unatambua matumizi sahihi ya question marks...!
talking of milaaz and all that!well....AMINI UNAVYO AMINI!
kuhusu kisukari...!well,kuna so many scientific explanations ambazo hatuhitaji kuweka hapa,ndo maana nikasema 70%,ndo maana nikazungumzia pressha..!so far AMINI VYOVYOTE
tuendelee!Mkuu ulivyoandika inaashiria una hasira hapa.
Bolded nafikiri unaweza kutofautisha kati ya IMANI na KUJADILI
Matumizi ya ???? nafahamu ila niliweka msisitizo na hio ni style ya mtu ya kuandika kwa mfano wewe unapenda sana kutumia ........... so najua pia unajua matumizi yake.
Bahati mbaya wanaume wasichokijua ni kuwa - your wife/ galfriend its the only worst enemy you sleep with in the same bed- she can kill you at any time tea. Basi tu.
Unakuta jitu linakuletea mwanamke ndani na kukupiga na kashfa za kila aina na bado likufanyie kama yule aliyesema mumewe anamtaka kinyume na maumbile kwa nguvu- yaani halafu usiku mtu anakoroma peacefully ah
Men wengi tunalelewa kwenye mazingira ya U-mimi kiasi kwamba mwenye haki na mamlaka katika uhusiano ni mimi na mimi tu...
Ntaamua muda wa kurudi,mabanda ya uani mangapi..
Tuna tamaa fisi afadhali kila kituo twataka kusimama..
Washkaji zetu-unaonekana padri kama unakomaa na mke/Gf utapigwa zengwe ukichomoa we kidume..
So kutokana na kushindwa kujisimamia (Strong Belief) katika mambo binafsi tunawayawaya...
Napenda sana kusikiliza wimbo wa Karen White -Superwomen whenever napomchukiza my love wangu and I wonder what if I was a woman...
Kweli tuwe wa-wazi na tuwapende wenzetu
Hapo kwenye red ndipo ulipokosea, umekuwa biased.....!!! Badala ya kuongea ukweli ulivyo, wewe unaongea kile ambacho wanawake wangependa kusikia!
wewe upo kwenye ndoa...!NIPE MSIMAMO WAKO!...ninachokiongelea hapa HAKIJANITOKEA...!nimeona kinatokea,na ninaamini hakihitaji uwe na ndoa
kashaingia kundini tumkaribishe.Ni kweli kabisa ulivyoandika ni vizuri mtu kupenda na kutulia na mwenza wako ila pati b ya maelezo yako sio kweli this is so unscientific kuna hata watoto wa miaka 5 siku hizi wana tatizo la sukari kutokana na mfumo wa maisha kubadilika na mambo ya kurithi etc.
Vipi unakumbuka ile thread yako ya ''NYUMBA NDOGO THEY ARE HERE TO STAY ''????? ....... leo imekuwaje??? mambo ya kudumisha MILA vipi hapo??? leo umeacha???
=Geoff;776515]kama nakosea,just tell me!I ACCEPT CHALLENGES
lakini kutishana kwamba YOU WILL GET TO KNOW THM SLOWLY una maana kali kidogo mkuu!...unataka watu waogope ndoa,au wawaogope wanawake!
kwamba kila anaeoa ni lazima ACHEAT!?
WENZANGU MNA NDOA ZENU!...nisaidieni uzoefu!kila mwenye ndoa ana cheat?
Hapa leo kuna nini? Hahaha! Naona mafundisho ya ndoa yamekamata. Kumbe mpo makamanda? Nlifikiri Muro kawapotezea. Anyway, i better be SERIOUS! Jamani mkimwona ZIONDAUGHTER mwambieni its over btn us! Am now very very and VERY SERIOUS with My CHARITY!......... Lolz! Hizi mila nani atadumisha sasa? I better think twice......... Anyway: Huku Makambako gesti zinakaribia kujaa. Fanyeni booking fastafasta. (sio off topic hii, i bet)
hahahaha!
nimerukaruka kwa furaha!
Hapa leo kuna nini? Hahaha! Naona mafundisho ya ndoa yamekamata. Kumbe mpo makamanda? Nlifikiri Muro kawapotezea. Anyway, i better be SERIOUS! Jamani mkimwona ZIONDAUGHTER mwambieni its over btn us! Am now very very and VERY SERIOUS with My CHARITY!......... Lolz! Hizi mila nani atadumisha sasa? I better think twice......... Anyway: Huku Makambako gesti zinakaribia kujaa. Fanyeni booking fastafasta. (sio off topic hii, i bet)
Binamu naona unamwaga pointi za kufa mtu.......!!! Au kwa kuwa leo ni Ijumaa nini? Ooops! Kumbe ni bado ni Alhmaisi...!!!
usinambie una mawazo ya kuua mtu?π
mbona hivyo lakini? but whyyyyyyyyyyyyy? hata wewe Kaizer lol!tunamsubiri huyu Geoff, baada ya miezi kadhaa tuone kama tonation itakuwa hii hii au la.
actually nafikiria apewa ban kabisa kuanzisha sredi....yeye achangie tuππππ
BRAVO!.hii sredi ipo biased kwa sababu:
1. mtoa mada hajawai kuwa kwenye serious relationship (hana ndoa bado)
2. Ndoa yake ni karibuni sana hivyo hata maono yake kuhusu mahusiano bado yana walakini
3.huwezi kujua kama viatu vinabana hadi uvivae, na kiatu kinachombana mwenzio, kinaweza kupwaya kwako
4. Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, ingia ucheze
BORA YESHE