Untold bitter truth about HALLELUJAH by Diamond

Maskini unatia huruma kumaliza muda wako kuandika utumbo
 
Nyimbo imebebwa na the heritage,,sijaona kilichoimbwa na Mond
 
kichwa cha habari chahusika, nimesikiliza mara kadhaa hii ngoma ya domo kaya ya halleluyah duuuuh,kwakweli ni balaa tupu na hili goma trust me litapasua ana anga za kimataifa, kwakweli kiba inabidi awe serious this time hizi shoo za viwanja vya vumbi aachane nazo kabisa. NAWASILISHA
 
Ukubali kuitwa msaliti au team Domo unajipa promo maana teamkibamia hawapendi kushauriwa.
 
Sasa Wimbo wa Dimond Kiba wamuhusu nini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…