Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 811
Nimependa staili za hawa jamaa wa JUMIA, huwa unaweka order online na wanakufikishia mpaka ulipo na utalipa hela ya bidhaa baada ya mzigo kufika mkononi mwako, hawa ndio JUMIA kwakweli huduma zao safi sana?
Jana tu niliweka order ya Sim ila leo napigiwa sim mzigo ushafika mjini ni mimi kwenda kuchuKua tu.
KAYMU:- Hawa jamaa utaratibu ni uleule lakini wao unalipa kwanza pesa ndipo wanakuletea mzigo na ukifika usipoupenda unaacha na hela yako utarudishiwa kwa njia uliyotumiwa ? japo sijawahi kujaribia kuomba na kufika kwa bidhaa zao ila hama wangeweka kama JUMIA tu ingekuwa poa sana.
Jana tu niliweka order ya Sim ila leo napigiwa sim mzigo ushafika mjini ni mimi kwenda kuchuKua tu.
KAYMU:- Hawa jamaa utaratibu ni uleule lakini wao unalipa kwanza pesa ndipo wanakuletea mzigo na ukifika usipoupenda unaacha na hela yako utarudishiwa kwa njia uliyotumiwa ? japo sijawahi kujaribia kuomba na kufika kwa bidhaa zao ila hama wangeweka kama JUMIA tu ingekuwa poa sana.