Habarini za kazi wapendwa!
Ninatamani kufahamu juu ya hii biashara ya ununuzi wa hisa, hivi inafanyikaje? Mtaji mzuri wa kuanzia ni kiasi gani? Unapataje faida kwa kununua hisa? Ni wapi au kampuni gani inafaa kwa biashara hiyo kwa sasa?
Nitashukuru nikielimishwa.
Ninatamani kufahamu juu ya hii biashara ya ununuzi wa hisa, hivi inafanyikaje? Mtaji mzuri wa kuanzia ni kiasi gani? Unapataje faida kwa kununua hisa? Ni wapi au kampuni gani inafaa kwa biashara hiyo kwa sasa?
Nitashukuru nikielimishwa.