Huseni Ali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 289
- 187
Bro hatuna ofisi ni Watu wa kuhangaika tu lakini kila kitu kuhusiana na usalama wa mali zako Kipo na Mara nyingi tunaeka bondi ya gari na nyumba Kwa yoyote yule anaetaka assurance. Lakini vile vile ni watu ambao tunaweka bima kwenye usafishaji wa magari Kwa usalama wa mali.Ofisi Zenu zipo wapi?
Asante Kwa ufafanuzi Mkuu pia usiache kutembelea jukwaa hili mara Kwa mara maana Sisi ndiyo wadau wenyeweBro hatuna ofisi ni Watu wa kuhangaika tu lakini kila kitu kuhusiana na usalama wa mali zako Kipo na Mara nyingi tunaeka bondi ya gari na nyumba Kwa yoyote yule anaetaka assurance. Lakini vile vile ni watu ambao tunaweka bima kwenye usafishaji wa magari Kwa usalama wa mali.
Nadhan itakua imetosha kuondoa any doubt.
Ahsante.
Usijali kwa ilo tupo pamojaAsante Kwa ufafanuzi Mkuu pia usiache kutembelea jukwaa hili mara Kwa mara maana Sisi ndiyo wadau wenyewe
Mambo vp?
Kwaiyo gharama zote za ushuru wa bandari ni juu yenu?