comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 May 29, 2020 #1 Wakulima wa pamba wameshavuna pamaa yao tayari ila hawaoni kama wahusika wako tayari kuinunua pamba yao. Lini ununuzi wa pamba unaanza kwa sababu kukaa na pamba ndani ya nyumba ni hatari sana. Aidha wakulima wanataka hela ya kurudisha watoto shule.
Wakulima wa pamba wameshavuna pamaa yao tayari ila hawaoni kama wahusika wako tayari kuinunua pamba yao. Lini ununuzi wa pamba unaanza kwa sababu kukaa na pamba ndani ya nyumba ni hatari sana. Aidha wakulima wanataka hela ya kurudisha watoto shule.