unyanyasaji kuhusu wosia!

unyanyasaji kuhusu wosia!

butogwa

Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
33
Reaction score
6
kwanini sheria inawapendelea wanaume kuandika urithi kwa kificho bila kuwashirikisha wake zao?
 
Asante baba askofu kwa jibu zuri, ni kweli kuna wamama wanawatoto wasijulikana baba zao nao wanapaswa kushirikisha waume zao. Swali ni kwenye zile wosia zinazoandikwa kwa kificho na kuwakandamiza kina mama kwenye mgawanyo wa mali kwa mf, mama mwenye umri mkubwa anapewa shamba wakati hana nguvu za kulima na hana pato la kila cku! Bb askofu utapeleka kondoo wengi kweli mbinguni kwa unyanyasaji huu wa wanaume?
 
sheria haipendelen mtu yeyote kwan kwa mujb wa sheria ya urithi mtu yeyote mwenye umri wa miaka kuanzia 18 na kuendelea anaruhusiwa kuandka wosia mbele ya mashahd wawil kama anajua kuandka na ksoma na wa4 ikiwa hawez kusoma. Shart jngne ili wosia uwe halal wahusika wa ule wosia (benificiary) hawatakiwi kuwa sehem ya mashuhuda wa wosia.
Vilevile mtoa wosia aweza kumrithsha m2 yeyote anayemtaka hata kama si ndugu yake na maamuz yake hayawez kutenguliwa na mc yeyote yule.
Hivyo hata akiamua kutomwachia mkewe hakuna wa kumhoj.
Lakn ikumbukwe huwez andka wosia kwa mali isiyo ya kwako au ambayo humiliki peke yako. N ile sehem ya mal yako tu ndo waweza acha wosia.
 
sheria haipendelen mtu yeyote kwan kwa mujb wa sheria ya urithi mtu yeyote mwenye umri wa miaka kuanzia 18 na kuendelea anaruhusiwa kuandka wosia mbele ya mashahd wawil kama anajua kuandka na ksoma na wa4 ikiwa hawez kusoma. Shart jngne ili wosia uwe halal wahusika wa ule wosia (benificiary) hawatakiwi kuwa sehem ya mashuhuda wa wosia. Vilevile mtoa wosia aweza kumrithsha m2 yeyote anayemtaka hata kama si ndugu yake na maamuz yake hayawez kutenguliwa na mc yeyote yule. Hivyo hata akiamua kutomwachia mkewe hakuna wa kumhoj. Lakn ikumbukwe huwez andka wosia kwa mali isiyo ya kwako au ambayo humiliki peke yako. N ile sehem ya mal yako tu ndo waweza acha wosia.
Hivi mke anaasilimia ngapi ktk mali ya mmewe kwa mf. Mke ameolewa na hana kazi na mme akapata mali wakiwa wote. na ikatokea mme akafa na hakumwachia kitu mke ktk wosia wake, je shelia inasemaje? 2.je mme kuandikisha mali zake watoto wakiwa na umri chini ya miaka 18 na kumuacha mama yao wakati bado anaishi nae ambae ni mke wake wa ndoa ya kikristo.
 
kama nlvyosema hapo awal mwenye mal aweza mrithisha m2 yeyote ampendaye.
Lakn kuhusu mali znazochumwa wakiwa pamoja mali hzo huwa ni za wao wote wawili yaan pasupasu lakn ikiwa mwanaume ataandka mali hzo kwa jina lake pekee yake na mke akakubal presumption inayokuwepo n kwamba zile mali n zake peke yake na huyo kumpa nguv ya ktoa wosia.
Hvyo mke mara nyng asistize mali za familia kuwekwa katka majna yao wote, au baada ya kfo akontest kwamba zle mal n za wao wote ingawa hapa atatakiwa kuithbtishia mahakama kwa ushahd mzto kwamba hzo mal n za wote vngnevyo itabd akubaliane na wosia.
Ikiwa wototo walio chn ya miaka kumi na nane wakiachiwa mali mama yao ndio atakayekuwa mtunzaj wa zle mali kwa niaba ya watoto ispokuwa tu pale mtoa wosia kaacha uangalz wa mal hzo chn ya m2 mwngne.
 
Asante kunifahamisha. Nahitaji kujua mengi juu ya haki za wanawake. Pia nawa incourage wanawake kuzifahamu haki zao kisheria ili kuepuka kukurupuka kimaamuzi kwenye ndoa hasa wakati wa matatizo na kupoteza haki zao.
 
Asante kunifahamisha. Nahitaji kujua mengi juu ya haki za wanawake. Pia nawa incourage wanawake kuzifahamu haki zao kisheria ili kuepuka kukurupuka kimaamuzi kwenye ndoa hasa wakati wa matatizo na kupoteza haki zao.

safi sana karibu 2taendelea kujuzana
 
Mheshimiwa mbasajohn naweza pata attachment za sheria hizo kuhusu haki za wanandoa kunapotokea tatizo ama wakati wa urithi wa mali ikiwa mmoja wa wanandoa amefariki. Na haki za mwanamke ikiwa mme aliacha wosia ambao mke hahusiki.
 
Back
Top Bottom