Unyanyasaji wa kijinsia unavyopamba moto kwenye elimu za juu (vyuo)

Unyanyasaji wa kijinsia unavyopamba moto kwenye elimu za juu (vyuo)

Willima

Member
Joined
Jul 27, 2022
Posts
26
Reaction score
39
Unyanyasaji wa jinsia katika ngazi ya elimu ya juu, umekua ukijitokeza mara kwa mara hususani kwa wanafunzi wa jinsia ya kike, ingawa matukio haya pia hujitokeza hata kwa wanafunzi wa jinsia ya kiume. unyanyasaji huu hujitokeza kwa njia tofauti, unyanyasaji wa kijinsia huwaza kujitokeza kati ya wanafunzi wenyewe au pia unaweza kujitokeza kati ya mwanafunzi na mkufunzi.

Unyanyasaji unaojitokeza kati ya wanafunzi hujitokeza endapo mwanafunzi wa jinsia fulanini kumnyanyasa mwanafunzi wa jinsia nyingine kwa kumdhalilisha eidha kwa maneno au vitendo. udhalilishaji huu hujitokeza kwa makundi, yaani wanafunzi wa jinsia fulani wenye uwezo eidha wakifedha au kimasomo.

Unyanyasaji wa jinsia una jitokeza kati ya mwanafunzi na mkufunzi, hapa mwanafunzi ndiye anaya athirika kwasababu mkufunzi ndiye mwenye nguvu na uwezo wa kumyanyasa mwanafunzi. Wakufunzi wengi hubebwa na taasisis za elimu za juu wanayofanyia kazi, linapo jitokeza suala la udhalilishaji wa kijinsia kati ya mkufunzi na mwanafunzi, jambo linalopelekea waathiriwa wengi kushindwa kuripoti unyanyasaji huo, na kusababisha wanafunzi wengi ambao ni waathirika kufanya maamuzi kama kukubaliana na unyanyasaji huo au kusitisha masomo yao ili waweze kuepukana na athari mbaya zaidi zitakazo jitokeza mbeleni.

Unyanyasaji wa kijinsia kwa ngazi za elimu ya juu unajitokeza mara nyingi na hutokea watu wengi. Je, wewe ni muathirika wa tatizo hili? au unajua nini kuhusiana na tatizo hili?
 
Tatizo kubwa ni wanafunzi wenyewe, pia na wahadhiri wanachangia kwa kiasi fulani, tuone sababu chache kama nilivoanisha hapo chini

1. Wanafunzi Hawasomi wakifeli wanakimbilia kwa lecturers na kuomba wakiwa kwenye mavazi mabovu lectures nao ni binadamu.

2. Mavazi kiujumla ya wanafunzi.
Hasa wakike hivyo ni rahisi kutongozwa hata kunyanyaswa, hiyo haitokeagi kwa wanafunzi wakike wanaojiheshimu sana na kujiweka mbali na umaarufu wa kijinga au madaraka ya ovyo ovyo vyuoni.

3. Uzembe wa kushiriki kazi mradi mbalimbali.
Hiyo hufanya mwanafunzi binafsi kutoka tamrini hivyo kujirahisisha kwa lectures hata kwa wanafunzi wenzake wamsaidie kufanya mijarabu mbalimbali na mijarabu shtukizi ya darasani.

4. Kuhitaji umaarufu wa kijinga.
Wanafunzi wengine wa kike huwa wanajipendekeza na mwishowe kujikuta wakiingia kwenye mitego mbalimbali ya walimu wao pamoja na wanafunzi wenzao

5. Tamaa.
Nacho ni kitu kimoja wapo kinachochangia unnyanyasaji. Tamaa inaweza kuwa ya wahdhiri kuwatamani wanafunzi au wanafunzi hasa wa kike kutamani mserereko.

6. Tabia binafsi
Sio kila unaoripotiwa ni unnyanyasaji wengine ni tabia zao tu wenyewe wanapenda mambo hayo ila wakikutana na wahadhiri wanaokaza wanawahi kuwaripoti ili waonekane kuwa wamenyanyaswa.
 
Lecturers wanakata pisi kali sana vyuoni kwa sababu ya kuogopa supp na kudisco kuna lecturer chuo flan anaitwa Kaberege kawatafuna sana.
 
mabadiliko yaanzie kwa wanafunzi wenyewe,hutaki kusoma kwa bidii ila unataka kufaulu,unavaa ovyoovyoo na kujipitishapitisha kwa walimu unategemea nini?
ni wachache sana wanaonyanyaswa bila jitihada zao
 
Back
Top Bottom