Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,115
- 2,771
WaargentinaHivi ni wachina au wakorea
Ila mimi navyojua mtu mweusi ukimchekea kazini anakuzoea vibaya sana anaweza hata kukupandia mabegani. Ila nigger sisi waoga Sana. Wanasubiri hadi wakubwa waje ndo wanaongea kwa ujasiri na kueleza kero zao.Swala la Wachina kunyanyasa watanzanja siyo jambo geni. Sikulizen
Taarifa Mbaya daraja la Busisi, unyama mkubwa Wabongo na Wachina hapatoshi...
View attachment 2078814
Njaa+ unafikiIla mimi navyojua mtu mweusi ukimchekea kazini anakuzoea vibaya sana anaweza hata kukupandia mabegani. Ila nigger sisi waoga Sana. Wanasubiri hadi wakubwa waje ndo wanaongea kwa ujasiri na kueleza kero zao.
Mumpige mchina wakati mnategemea wawape Ugali😅 nani ana jeuri hio?Hamna umoja, pigeni kachina kamoja mkatoe meno manne, watawaheshimuni
Very sadMumpige mchina wakati mnategemea wawape Ugali😅 nani ana jeuri hio?
Hapo HR anakula buku 2500 kwa kila kichwa daily hao ndio wabongo tulivyi tunaumizana sana.