Unyanyasaji waua mabinti 85 wa Kenya Uarabuni

Unyanyasaji waua mabinti 85 wa Kenya Uarabuni

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Grace Kuria

Wasichana 85 wa Kenya wamepoteza maisha katika muda wa siku 90 zilizopita, na takriban 1,000 kurejeshwa makwao, hasa kutoka Saudi Arabia.

Haya yalibainishwa na mteule wa Kenya katika nafasi ya Waziri wa Masuala ya Kigeni Dkt. Alfred Mutua, ambaye alisema wasichana hao walinyanyaswa walipokuwa wakitafuta kazi.

Dkt. Mutua alikuwa akijibu swali wakati alipokuwa akipigiwa kura Bungeni, kuhusu hatua ambazo angeweka kuhakikisha wafanyakazi hao wahamiaji wamepewa mikataba katika ajira, wanalindwa, na wanafurahia kikamilifu haki wanazopewa.

"Nimeangalia suala hili, na nimeona kushindwa kwa utaratibu katika mifumo, kutoka kwa jinsi wanavyoajiriwa hapa .... na jinsi wanavyoruhusiwa kufanya kazi wanapofika Saudi Arabia na nchi nyingine."

Mteule huyo aliahidi kuwa iwapo ataidhinishwa, atashirikiana na mamlaka husika, kuruhusu Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai kusafiri naye hadi Saudi Arabia, kuchunguza kila kifo kilichotokea.

"Ili kila mtu aliyehusika katika vifo hivyo ashtakiwe."

Mnamo 2021, Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya ilisema Wakenya 89, wengi wao wakiwa wafanyakazi wa nyumbani walifariki nchini Saudi Arabia katika miaka miwili iliyopita. Hata hivyo vilihusishwa na mshtuko wa moyo.

BBC
 

Attachments

  • 1666032563724.gif
    1666032563724.gif
    42 bytes · Views: 15
Saudi Arabia ndio mahali patukufu pa waislamu!!kwengine ni Iraq,Yemen,Syria,Somalia,Afghanistan,,,,,🚮🚮🚮
 
Tabia haibadiliki, mwarabu sio mtu yale mambo aliyotufanyia wakati wa biashara yao ya utumwa ndio hayo hayo anaendelea kutufanyia leo.

Enzi za biashara yao ya utumwa wanaume waliowapeleka uarabuni waliwahasi na kuwageuza wanawake na ndio maana leo hii hamna uzao wa watumwa uarabuni.

Wanaoenda kufanya kazi uarabuni hawana akili ngoja tu wawanyanyase, hawawezi kuona hata waarabu wenyewe wanakimbilia uzunguni kukwepa sheria za kijinga za utamaduni wao.
 
Waarabu walikuwa wastaarabu sana kabla ya uislam kuingia...walipoanza kuwa waislam miaka ya 600 AD huko ndio wakaanza hizi tabia za kujiona wao na dini yao ni bora sana na jamii zingine ni sawa na mifugo.
Alaaniwe mtume muhammad kokote alipo na azidi kuoza na kuliwa na funza.
 
Waarabu walikuwa wastaarabu sana kabla ya uislam kuingia...walipoanza kuwa waislam miaka ya 600 AD huko ndio wakaanza hizi tabia za kujiona wao na dini yao ni bora sana na jamii zingine ni sawa na mifugo.
Alaaniwe mtume muhammad kokote alipo na azidi kuoza na kuliwa na funza.
Dah....[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Waarabu wa Saudia wasisingiziwe.Nimeona Clip moja ya offisa wa Kenya ambaye alikuwa ndiye mkuu wa Raia wa Kenya waishio Saudia,anasema wasichana wa Kenya,wengi wao huja na Mimba kutoka Kenya,au hujazwa kule Saudia na Wakenya wenzao,wanachofanya Mimba ikifika miezi minne wanalazimisha kutoa.Matokeo yake ni kifo.Na akaongezea Saudia ni marufuku kutumia Dawa za kuzuia au kutoa Mimba
 
Waarabu wa Saudia wasisingiziwe.Nimeona Clip moja ya offisa wa Kenya ambaye alikuwa ndiye mkuu wa Raia wa Kenya waishio Saudia,anasema wasichana wa Kenya,wengi wao huja na Mimba kutoka Kenya,au hujazwa kule Saudia na Wakenya wenzao,wanachofanya Mimba ikifika miezi minne wanalazimisha kutoa.Matokeo yake ni kifo.Na akaongezea Saudia ni marufuku kutumia Dawa za kuzuia au kutoa Mimba
WWE unatetea Waarabu WWE jini Nini???🚮na mwanaume mkikuyu alikuwa ameenda Saudi akarudi kwa wheelchair!!!uyo pia ni mimba alitoa????🤔
 
Waarabu wa Saudia wasisingiziwe.Nimeona Clip moja ya offisa wa Kenya ambaye alikuwa ndiye mkuu wa Raia wa Kenya waishio Saudia,anasema wasichana wa Kenya,wengi wao huja na Mimba kutoka Kenya,au hujazwa kule Saudia na Wakenya wenzao,wanachofanya Mimba ikifika miezi minne wanalazimisha kutoa.Matokeo yake ni kifo.Na akaongezea Saudia ni marufuku kutumia Dawa za kuzuia au kutoa Mimba
Sio kweli, acha uongo bwana wangekuwa wazuri kihivyo hata biashara haramu ya utumwa wasingefanya.
 
Maluun mkubwa najisi wewe
Waarabu walikuwa wastaarabu sana kabla ya uislam kuingia...walipoanza kuwa waislam miaka ya 600 AD huko ndio wakaanza hizi tabia za kujiona wao na dini yao ni bora sana na jamii zingine ni sawa na mifugo.
Alaaniwe mtume muhammad kokote alipo na azidi kuoza na kuliwa na funza.
 
Back
Top Bottom