kindamba2000 Member Joined Mar 4, 2017 Posts 15 Reaction score 6 Nov 15, 2021 #1 Hivi unaamini unyenyekevu (humility) ndiyo silaha kubwa ya kufanikiwa kwenye LIFE? Mimi niko 50/50 bana πππ
Hivi unaamini unyenyekevu (humility) ndiyo silaha kubwa ya kufanikiwa kwenye LIFE? Mimi niko 50/50 bana πππ
Mczigga JF-Expert Member Joined Feb 20, 2020 Posts 722 Reaction score 1,272 Nov 15, 2021 #2 Unyenyekevu ni chanzo cha kuburuzwa na kuwa mtumwa fanya vitu vile unapaswa kufanya tu usimnyenyekee mtu,,,
Unyenyekevu ni chanzo cha kuburuzwa na kuwa mtumwa fanya vitu vile unapaswa kufanya tu usimnyenyekee mtu,,,