Ni kutokana na wanafunzi hao kutopata pesa zao za kujikimu kutoka bodi ya mikopo.wanafunzi hao Hasa wa mwaka wa Pili ambao toka waanze semester hawajapata mikopo yao.hiv sasa wanaishi kwa neema baada ya maisha yao Kuwa magum sana hivi sasa wakiwa wamesain kwa wiki moja na inasemekana wamesaini pesa ambayo haipo et wanasema bodi ya mikopo hawajaleta check.OMBI KWA WAZAZI MUWASAIDIE WATOTO WENU