Kwa sasa Dar es salaam
hapa duniani hakuna kitu cha bure nawashangaa mnao ogopa madhehebu yenu eti kisa ni ya upigaji sasa unataka usitoe dhehebu litajiendesha vipi.Kumbuka hata usipolinufaisha dhehebu lako kuna kitu utaenda kukinufaisha mfano vilabu ya mpira,wanamuziki,bar n.k
Wewe ndo utachagua unufaishe wapi panapokupa maendeleo
kupanga ni kuchagua na kuchagua ni wewe.Usiwe muoga na dunia.
Kiongoz naona umeamua kutufunua akili,
Apa nakumbuka story ya wanafalsafa wakijaribu kuelezea haya,
Kuwa siku zote watu hawataki kuusikia ukweli,
Tatizo hawatakuzikaNmebaki namuamini Mungu tu, ila kwenye mikusanyiko nilikata mguu miaka kenda now
Dini ni utapeli,haswaa wakristo jamani wanapigwa sana hadi huruma, kuna jirani yangu kafirisika sababu ya upuuzi wa dini!
Tatizo hawatakuzika
kushinda kwenye nyumba ya ibada kutwa kucha kilasiku huo ni ushetani sio mambo ya Mungu.moja kati ya misingi ya imani kwa Mungu ni kufafanya kazi kwa bidii,kilakitu au kila jambo linapewa muda wake.
samahani nimetoka nje ya mada kiduchuπ
Nilikuwa muhanga kwa haya madhebu lkn namshukuru sana MUNGU nimetoka uko pia naishukuru JamiiForums kuna watu ni vichwq haswa,fikra huru
π€π€π€π€π€π€π€Alafu unaambiwa ni shule ya dhehebu lako? Hahahaha!
Watu waache wizi. unyonyaji na utapeli.
Mara nyingi naamini Serikali ndio Dini. Kwani ndio inaweza kukupa huduma nyingi kwa gharama nafuu
π€π€π€π€π€π€Wakatoliki, "Roman Catholic " ni imami ya Waroma, mwafrika unafanya nini huko?