Wakati Mungu akiumba Imani, wanadamu walitengeneza dini.
Wakati Mungu akiumba Akili, wanadamu walitengeneza Elimu.
Wakati Mungu akiumba Uzuri, wanadamu walitengeza Urembo
Wakati Mungu akiumba wakati, wanadamu walitengeza Kalenda
umeeleweka sana bro👊👊