Unywaji chai kwa wingi ni hatari kwa afya?

Nyie wote wawili mnanifurahisha sana kwa malumbano yenu msitukanane tu jamani kwenye mapenzi hakutaki ugomvi ninawapendeni wote wawili bibie.@Mamndenyi na bibie.Madame B kaeni vizuri jamani msigombane.:A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
umenijulia wapi Madame B jamani.
my teacher, my friend na jirani yangu vile vile
mimi nakujua vizuri japo wewe haujanijua kama unavyosema,
am i right???

Nimekujua baada ya MziziMkavu kukuongeza kwangu ili uwe mke wa pili.
Naona sasa unataka unipande kichwani.
Nitakupa talaka mie mwenyewe kwa niaba ya mume wetu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…