baada ya masaa mangapi tokea kumaliza dozi ya UTI unaruhusiwa kunywa pombe.
Nakala: MziziMkavu
........Duuu!
yaani UTI ilikufanya ukumbuke "ulabu" uliuisi sana..... lakini kama
ukiisusa kabisa itakuwa vema zaidi .....
Mkuu.steveach baada ya masaa 24 unaweza kunywa .
MziziMkavu;
Nilitegeme majibu majibu mazuri kama haya tokea kwako baada ya kuona thread hii!
Upo Kamanda wangu? Mi mzima wa afya njema!
Mkuu.@steveachi Uwe unapunguza kunywa na hata siku za mbele ikiwezekana uache kabisa kunywa Pombe sio nzuri kiafya haswa wewe ukizingatia umeumwa ugonjwa UTI huo ndio ushauri wangu punguza kunywa pombe au acha kabisa ikiwezekana.Mbona kanijibu Mkuu,ona posti yake ya kwanza kabisa,na kwa kuona umuhm wake ktk fani hyo nikammensheni kabisa ili anione,na namshukuru allah nimefanikiwa kujibiwa nae,vp kuna la zaidi mkuu wng?
Mkuu.@steveachi
Uwe unapunguza kunywa na hata siku za mbele ikiwezekana uache kabisa
kunywa Pombe sio nzuri kiafya haswa wewe ukizingatia umeumwa ugonjwa UTI
huo ndio ushauri wangu punguza kunywa pombe au acha kabisa
ikiwezekana.
Hakuna Uhusiano kati ya UTI na Unywaji Pombe.Poa mkuu,ila mi sio mnywaji sana kivile,kwa wk naweza nikanywa mara 1 au 2 tena tubia tuchache tu,mkuu hvyo uwezekano wa kuacha upo,sijawa addicted saana,kuna uhusiano gani kati ya pombe na UTI??
Tumia konyagi mkuu, ita flash back UTI yako yote!