Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
Miongoni mwa mambo ambayo yametugharimu sana Watanzania ni hofu kuu ya watawala wetu wa vipindi mbalimbali kuogopa au kuona haya kufiwa na CCM na muungano wa bara na visiwani!
Watu wamepatwa na majanga luluki, hasa huko visiwani, kila chama pinzani kinapoelekea kushinda uchaguzi kwa asilimia kubwa kwa hofu tu kuwa hicho chama kingine kikishika hatamu, japo visiwani tu, basi muungano 'wagendaa'!
Mzee Mkapa, katika kitabu chake, mpaka aliwaomba radhi watanzania kwa aliyoyatenda Visiwani kutokana na kuulinda huo muungano na kuogopa kufiwa na CCM na hayupo peke yake!
NI LINI VIONGOZI WETU, TANZANIA, WATAKOMAA NA KUMUDU KUIKABILI HOFU HII NA KUTUACHA WABONGO TUJIAMULIE HATMA YETU NZURI KWA RIDHAA? HII ITAWAWEKA WAO HURU PIA!
Watu wamepatwa na majanga luluki, hasa huko visiwani, kila chama pinzani kinapoelekea kushinda uchaguzi kwa asilimia kubwa kwa hofu tu kuwa hicho chama kingine kikishika hatamu, japo visiwani tu, basi muungano 'wagendaa'!
Mzee Mkapa, katika kitabu chake, mpaka aliwaomba radhi watanzania kwa aliyoyatenda Visiwani kutokana na kuulinda huo muungano na kuogopa kufiwa na CCM na hayupo peke yake!
NI LINI VIONGOZI WETU, TANZANIA, WATAKOMAA NA KUMUDU KUIKABILI HOFU HII NA KUTUACHA WABONGO TUJIAMULIE HATMA YETU NZURI KWA RIDHAA? HII ITAWAWEKA WAO HURU PIA!