Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Msemaji Mkuu wa Serikali Thobias Makoba amesema zoezi la uokoaji kwenye eneo la ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo mkoani Dar es Salaam limemalizika.
Akizungumza na waandishi wa habari Makoba amesema hatua zinazofuata baada ya kukamilika kwa zoezi hilo ni kukaa na wafanyabiashara wa jengo hilo lililoporomoka na kuchambu mali ambazo zipo.
"Naomba nitangaze kwamba tumemaliza zoezi la uokoaji na tumefika level ya chini kabisa kwenye basement ambapo kuna watu walikuwa wamenasa." amesema Makoba.
PIA, SOMA
Akizungumza na waandishi wa habari Makoba amesema hatua zinazofuata baada ya kukamilika kwa zoezi hilo ni kukaa na wafanyabiashara wa jengo hilo lililoporomoka na kuchambu mali ambazo zipo.
"Naomba nitangaze kwamba tumemaliza zoezi la uokoaji na tumefika level ya chini kabisa kwenye basement ambapo kuna watu walikuwa wamenasa." amesema Makoba.