Zero Conscious
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 254
- 519
Habarini za wakati huu. Kama tunavyofahamu zoezi la utumaji wa maombi ya Ajira linaelekea kutamatika lakini kiukweli Hali inatisha.
Kwa wale ndugu zangu walimu mtakuwa mmeona kwenye shule mlizoomba idadi ya walimu wanaohitajika na namba ya watu waliotuma kuiwania nafasi hiyo. Kuna wakati utaona mwalimu anatakiwa mmoja au wawili lakini contenders ni zaidi ya elfu Moja.
Kwa wenye shortcuts, hakikisheni mnatumia hiyo nafasi tu kikamilifu kadri muwezavyo lakini kwa sisi tusio na connection tumefanya ku-bet tunajiandaa kwa matokeo yoyote ila mwenyezi Mungu atusaidie sana kwakuwa tumerusha JIWE GIZANI, maana baada ya deadline nategemea vinafuata vifuti, Kuna watu watapigwa za chembe na wengine watavunjwa uti.
Kwa wale ndugu zangu walimu mtakuwa mmeona kwenye shule mlizoomba idadi ya walimu wanaohitajika na namba ya watu waliotuma kuiwania nafasi hiyo. Kuna wakati utaona mwalimu anatakiwa mmoja au wawili lakini contenders ni zaidi ya elfu Moja.
Kwa wenye shortcuts, hakikisheni mnatumia hiyo nafasi tu kikamilifu kadri muwezavyo lakini kwa sisi tusio na connection tumefanya ku-bet tunajiandaa kwa matokeo yoyote ila mwenyezi Mungu atusaidie sana kwakuwa tumerusha JIWE GIZANI, maana baada ya deadline nategemea vinafuata vifuti, Kuna watu watapigwa za chembe na wengine watavunjwa uti.