Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Wadau Salaam,
Naomba kuuliza kama unaweza kufanya process ya kuomba mkopo bila ya kuwa na ADMISSION NUMBER kutoka chuo chochote! Kwani hii imetokana na dirisha la mikopo kufikia tamati tarehe 30 August ili hali matokeo ya chaguzi kuanza kutangazwa kuanzia tarehe 03 September na hapo ndipo ADMISSION NUMBER huanza kutolewa!
Aliyeweza kujaza fomu na kuzituma bodi ya Mikopo alete ushaidi ili nasi tuchangamkie fursa kabla hawajafunga!
Asanteni.
Naomba kuuliza kama unaweza kufanya process ya kuomba mkopo bila ya kuwa na ADMISSION NUMBER kutoka chuo chochote! Kwani hii imetokana na dirisha la mikopo kufikia tamati tarehe 30 August ili hali matokeo ya chaguzi kuanza kutangazwa kuanzia tarehe 03 September na hapo ndipo ADMISSION NUMBER huanza kutolewa!
Aliyeweza kujaza fomu na kuzituma bodi ya Mikopo alete ushaidi ili nasi tuchangamkie fursa kabla hawajafunga!
Asanteni.