Mfano umeomba visa ubarozi wa ufaransa unataka kwenda paris kwenye maonesho lakini ukawa hujui english je wakati wa enterview unaruhusiwa kuongea kiswahili au ndio utakuwa visa umekosa sababu hujui lugha
Mwenye uzoefu alieyewahi kuomba visa ubarozi wa france atoe msaada kama hujui kuongea kizungu wakati wa kuhojiwa inaruhusiwa kutumia lugha yako au ndio utakuwa umekosa visa hata kama document zipo kamili