KERO Uonevu kwenye usahili wa ajira za Afya Septemba 2024

KERO Uonevu kwenye usahili wa ajira za Afya Septemba 2024

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari,

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwenye uonevu unaoendelea kwenye ajira sekretarieti ya Utumishi kwa Umma.

Ajira zilizotolewa zimeshaanza kufanyiwa usahili ila kuna changamoto mbalimbali.

1. Mfumo kubadilisha sehemu ya mtihani, mfano umechagua Musoma mfumo unakuja kubadilika baadae unasema Arusha, ukiwapigia simu wanakwambia ubaki Musoma ukienda siku ya usahili unaambiwa jina lako halipo. Kwasasa watu wengi majina yao yamehamishiwa Arusha kwenye usahili wa mdomo ila tupo njia panda baada ya yale yaliyotokea kwenye usahili wa kuandika.

2. Wasimamizi wanatumia lugha ya kejeli sana, kuna video inasambaa ingawa wameikana ila hayo ndo yanayoendelea mimi nimeshuhudia mdada wa miaka kama 25 anamtukana mtu wa almost 40 years hadharani kabisa, hii si sawa
 
Habari,

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwenye uonevu unaoendelea kwenye ajira sekretarieti ya Utumishi kwa Umma.

Ajira zilizotolewa zimeshaanza kufanyiwa usahili ila kuna changamoto mbalimbali.

1. Mfumo kubadilisha sehemu ya mtihani, mfano umechagua Musoma mfumo unakuja kubadilika baadae unasema Arusha, ukiwapigia simu wanakwambia ubaki Musoma ukienda siku ya usahili unaambiwa jina lako halipo. Kwasasa watu wengi majina yao yamehamishiwa Arusha kwenye usahili wa mdomo ila tupo njia panda baada ya yale yaliyotokea kwenye usahili wa kuandika.

2. Wasimamizi wanatumia lugha ya kejeli sana, kuna video inasambaa ingawa wameikana ila hayo ndo yanayoendelea mimi nimeshuhudia mdada wa miaka kama 25 anamtukana mtu wa almost 40 years hadharani kabisa, hii si sawa
Bila kufufuka maiti zinatendewaga wanavyotaka ndugu. Watanzania tu maiti, hatuwezi kufanya lolote, tu MAITI
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Habari,

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwenye uonevu unaoendelea kwenye ajira sekretarieti ya Utumishi kwa Umma.

Ajira zilizotolewa zimeshaanza kufanyiwa usahili ila kuna changamoto mbalimbali.

1. Mfumo kubadilisha sehemu ya mtihani, mfano umechagua Musoma mfumo unakuja kubadilika baadae unasema Arusha, ukiwapigia simu wanakwambia ubaki Musoma ukienda siku ya usahili unaambiwa jina lako halipo. Kwasasa watu wengi majina yao yamehamishiwa Arusha kwenye usahili wa mdomo ila tupo njia panda baada ya yale yaliyotokea kwenye usahili wa kuandika.

2. Wasimamizi wanatumia lugha ya kejeli sana, kuna video inasambaa ingawa wameikana ila hayo ndo yanayoendelea mimi nimeshuhudia mdada wa miaka kama 25 anamtukana mtu wa almost 40 years hadharani kabisa, hii si sawa
Ukitaka cha uvunguni .....fuata mfumo unako kupeleka usisikilize binadamu ,sikiliza mfumo.Miluzi mingi.....
 
Habari,

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti kwenye uonevu unaoendelea kwenye ajira sekretarieti ya Utumishi kwa Umma.

Ajira zilizotolewa zimeshaanza kufanyiwa usahili ila kuna changamoto mbalimbali.

1. Mfumo kubadilisha sehemu ya mtihani, mfano umechagua Musoma mfumo unakuja kubadilika baadae unasema Arusha, ukiwapigia simu wanakwambia ubaki Musoma ukienda siku ya usahili unaambiwa jina lako halipo. Kwasasa watu wengi majina yao yamehamishiwa Arusha kwenye usahili wa mdomo ila tupo njia panda baada ya yale yaliyotokea kwenye usahili wa kuandika.

2. Wasimamizi wanatumia lugha ya kejeli sana, kuna video inasambaa ingawa wameikana ila hayo ndo yanayoendelea mimi nimeshuhudia mdada wa miaka kama 25 anamtukana mtu wa almost 40 years hadharani kabisa, hii si sawa
Pole sana kwenye kutafuta Kuna mengi ndugu
 
Back
Top Bottom