Wewe na baba yako wote mnamwita Mbowe mwamba??Ni mwendelezo wa UKATILI na ukandamizaji wenu kijani kupitia mawakala wenu, uliyoanza kitambo na kuimarika sana wakati wa Babeli Mkuu.
Mmehangaika sana katika ushetani wenu bila mafanikio na hivi sasa zimebaki hadithi/tungo KAMA za watoto.
SIO siri kuwa Mwamba Mbowe BADO ni kikwazo kikubwa kwa juhudi zenu za kuiua CHADEMA. AMEN
Maneno mazuri haya. Muda ni judge mzuri, tusubiri.Linapokuja suala linalomhusu mwanadamu huwa naweka akiba ya maneno.........
Kama kweli MBOWE alipanga njama hizo Mungu amshushie adhabu iliyo kuu......
Kama ni khila za kibinadamu dhidi yake basi Mungu ataonyesha utukufu wake dhidi ya watesi wake......
......,................AMEN......................
Amen!Linapokuja suala linalomhusu mwanadamu huwa naweka akiba ya maneno.........
Kama kweli MBOWE alipanga njama hizo Mungu amshushie adhabu iliyo kuu......
Kama ni khila za kibinadamu dhidi yake basi Mungu ataonyesha utukufu wake dhidi ya watesi wake......
......,................AMEN......................
Cc KikulachoChako johnthebaptist Crimea YEHODAYAKuna namna nyingi za kulipa madhambi uliyotenda hapa hapa duniani. Mwacheni Mbowe alipe madhambi yake;
1. Kunyanga'anya uongozi kutoka kwa Bob Makani mwaka 2003 na kupelekea akina Paul Kyara na Mchatta kujutenga nankuanzisha chama cha SAU
2. Kuuawa kimazingira yasiyoeleweka kwa Chacha Wangwe aliyetaka kugombea UWENYEKITI kwenye mwaka 2007 pale PandaMbili karibu na Kibaigwa
3. Kufukuzwa kwa Zitto Kabwe na wenzie mwaka 2010 kwa sababu Zitto aliitaka kugombea uwenyekiti wa CHADEMA
4. Kuiuzia CHADEMA magari mabovu kupitia kampuni yake
5. Kuuza nafasi ya kugombea uRais kwa Lowassa iliyokuwa ya Dr Slaa kwa Tsh 10 Billion ambazo aligawana na mkwewe Mtey na Maalim Seif
6. Kutoitisha uchaguzi wa Mwenyekiti toka 2003 na kujifanya Mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA
7. Kugawa viti Maalum vya CHADEMA kwa mahawara zake kina Joyce Mukya, Grace Kiwelu, Chiku Abwao etc
8. Kufisadi fedha ambazo Jafari Sabodo alitoa kwa ajili ya kujengea ofisi
Hayo ni machache tu, nakushauri mtoa mada achana kuunga mkono UJINGA huu, kwa vile Mbowe yuko hapo kufanya ujasiriamali wa siasa. Tafuta pesa usipoteze muda
Cc johnthebaptist Crimea YEHODAYAGaidi hilo acha kifungwe, alifurahi mnooo kifo cha mtu wetu Dkt Magufuli
Mungu yupi huyo atajibu mapigo?Hakika Mbowe ameonewa sana, ameteswa sana, amedhulumiwa sana na utawala wa CCM na serikali yake ya awamu hii ya 5
Watanzania hatuko kimya tumefunga kwa kuomba na kusali na kumshtakia Mungu kwa uonevu huu.
Mkakati wa kumwonea Mbowe uliripotiwa toka mwaka 2018 na leo umetimia.
Hakika ipo siku mungu atajibu kilio chetu.
Wanachama na wafuasi wa chadema wamo magerezani kwa kesi za kusingiziwa wanaumia wanateseka
Viongozi wa Chadema walipewa kesi na kulipa faini ya mil.300 kwa makosa ya polisi ya kumpiga risasi Akwilina ukweli uonevu huu umezidi
Tundu lissu alipigwa risasi mchana kweupe mpaka leo hakuna kesi
Tundu Lissu alipokonywa ubunge wake na kunyimwa haki zake na aliyefanya hivyo leo sio spika tena watawala wapo kimya
Leo Mh Mbowe yupo mahabusu kwa kesi iliyosukwa mwaka 2018
Mungu ni mwema atasikia vilio vya watu wake.
View attachment 2126850
Acha tumpate tu Mkuu..Tutampata Mwendazake mwingine kama adhabu.
Kwani CCM tangu lini wakawa na MUNGU, wasingekuwa wanashauriwa na SHETANI.Mungu yupi huyo atajibu mapigo?
Ni huyu ambaye kila mtu anamuomba au ni mwingine wa kwenu tu?
Hili napo lakulitazama kwa makiniNa vipi kama anachopitia Mbowe ni MALIPO ya UBAYA kutoka kwa Mungu ambao amekuwa akiwafanyia wengine??
Kila jambo lina mwishoHakika Mbowe ameonewa sana, ameteswa sana, amedhulumiwa sana na utawala wa CCM na serikali yake ya awamu hii ya 5
Watanzania hatuko kimya tumefunga kwa kuomba na kusali na kumshtakia Mungu kwa uonevu huu.
Mkakati wa kumwonea Mbowe uliripotiwa toka mwaka 2018 na leo umetimia.
Hakika ipo siku mungu atajibu kilio chetu.
Wanachama na wafuasi wa chadema wamo magerezani kwa kesi za kusingiziwa wanaumia wanateseka
Viongozi wa Chadema walipewa kesi na kulipa faini ya mil.300 kwa makosa ya polisi ya kumpiga risasi Akwilina ukweli uonevu huu umezidi
Tundu lissu alipigwa risasi mchana kweupe mpaka leo hakuna kesi
Tundu Lissu alipokonywa ubunge wake na kunyimwa haki zake na aliyefanya hivyo leo sio spika tena watawala wapo kimya
Leo Mh Mbowe yupo mahabusu kwa kesi iliyosukwa mwaka 2018
Mungu ni mwema atasikia vilio vya watu wake.
View attachment 2126850
Mkuu utasimama mbele ya mtutu kweli?? hawa wenzetu wako tayari kumtoa mtu koromeo muda wowote.Shida ni wafuasi wa Cdm kuyakubali mateso hayo. Nchi za ki Africa, ukifanya siasa za kiistaarabu unachukuliwa kama mnyonge na shamba la bibi la kujifunzia kila kitu.
Hawaoni resistance yoyote ya kukataa manyanyaso.
na mabaya yanapotukuta ni kwa sababu tuna dhambi na Mungu hutukimbia?Linapokuja suala linalomhusu mwanadamu huwa naweka akiba ya maneno.........
Kama kweli MBOWE alipanga njama hizo Mungu amshushie adhabu iliyo kuu......
Kama ni khila za kibinadamu dhidi yake basi Mungu ataonyesha utukufu wake dhidi ya watesi wake......
......,................AMEN......................
Kwahiyo CHADEMA ndio ina Mungu?Kwani CCM tangu lini wakawa na MUNGU, wasingekuwa wanashauriwa na SHETANI.
Kwanini mtu yoyote anayechangia hoja yake ikiwa tofauti na mitazamo yenu lazima hausishwe kuwa ni mwanaccm kwani nchi hii lazima kila mtu awe CCM au CHADEMA? Wapi Mkaruka kwakuambia yeye ni ccm au wapi hiyo hoja yake imeonesha yeye ni CCM?Ni mwendelezo wa UKATILI na ukandamizaji wenu kijani kupitia mawakala wenu, uliyoanza kitambo na kuimarika sana wakati wa Babeli Mkuu.
Mmehangaika sana katika ushetani wenu bila mafanikio na hivi sasa zimebaki hadithi/tungo KAMA za watoto.
SIO siri kuwa Mwamba Mbowe BADO ni kikwazo kikubwa kwa juhudi zenu za kuiua CHADEMA. AMEN
Kama ni hivyo mbona Mhe harrison Mwakyembe alilishwa sumu na akapona na yeye ni CCMMuulize lissu na makufuri mwendakuzimu watakujibu au gunduai
Amen 🙏Linapokuja suala linalomhusu mwanadamu huwa naweka akiba ya maneno.........
Kama kweli MBOWE alipanga njama hizo Mungu amshushie adhabu iliyo kuu......
Kama ni khila za kibinadamu dhidi yake basi Mungu ataonyesha utukufu wake dhidi ya watesi wake......
......,................AMEN......................
AK 47 ni sumu?Kama ni hivyo mbona Mhe harrison Mwakyembe alilishwa sumu na akapona na yeye ni CCM
Twamfahamu siku nyingi hata kabla hujazaliwa.Kwanini mtu yoyote anayechangia hoja yake ikiwa tofauti na mitazamo yenu lazima hausishwe kuwa ni mwanaccm kwani nchi hii lazima kila mtu awe CCM au CHADEMA? Wapi Mkaruka kwakuambia yeye ni ccm au wapi hiyo hoja yake imeonesha yeye ni CCM?
Inahusiana vipi mkuu?Kwani hapo uongo ni gani? si kwei tupu kila kitu