Uonevu mnaomfanyia Mbowe na CHADEMA ipo siku Mungu atajibu mapigo

Siyo kazi yetu kuwapelekea Polisi. Polisi wanataratibu zao za kufanya kazi
 
Tulieni nyinyi wapumbavuu wa chadema simlise.a mama ansupiga mwingi .....shenziii taipu mbuzi wa hedi nyinyi
 
CCM bana mnashekesha balaaa, yaani unamwogopa mtu hadi unampa kesi nzito ili akiwa gelezani walau upumue kidogo eee..

Mbowe kakaa siku 230 hivi je mmepumua ?

Mziki wa leo wa Join the chain naona hamtalala kabisa..m- copy na hiyo bac tuwaone.

Chama ni wanachama na si majengo. Kaeni na hela za ruzuku sisi tunasonga mbele.

CCM oyeee !! Twendeni kidigital kama ubavu mnao.
 
 
Ningekuona unazo akili kama ungeandika kuhusu babaako au mama yako, coz hao wanastahiki utetezi wako kwa 1000000%.
Huyo unaejaribu kumtetea hakujui kwa lolote
 
Shida ni mikongamano ya katiba wakati wa jiwe haikuwepo,mama nndani ya miezi 2 tu ofisini mukaanza kumtikisa,jibu mumelipata,na kila sehemu shwari,bila vile mikongamano ingekuwa nchi mzima,vurugu tupu.Mama ametaka mukae mezani hamtaki munawamsikiliza walio ulaya lisu na lema.
 
Ila we jamaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…