jonathans maziku
Member
- Sep 7, 2022
- 22
- 40
Naomba kujua ni haki kweli kwa shule kuongeza ada katikati ya mwaka. Maana nina mdogo wangu anasoma Kidato cha Sita, ada imekuja kuongezeka katikati ya muhula wa pili kufikia kidato cha sita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamadhumuni ya kuwaondoa wasio na uwezo kifedha kwenye Shule za binafsiNaomba kujua ni haki kwel kwa shule kuongeza ada katikati ya mwaka
Maana Nina mdogo wang anasoma form six ada imekuja kuongezeka katikati kweny muhula wa pili wa 4m6
.