Naomba kujua ni haki kweli kwa shule kuongeza ada katikati ya mwaka. Maana nina mdogo wangu anasoma Kidato cha Sita, ada imekuja kuongezeka katikati ya muhula wa pili kufikia kidato cha sita
Shule za wTu binafsi wanataka mumtafuta ubaya mama Samia
Wanampima uwezo.
Kuna shule inapokea ada si chini million kwa nusu term, Raia aliuezoea kudunduliza mtoto asome shule za maana anahali mbaya sana kwa sasa
Naomba kujua ni haki kwel kwa shule kuongeza ada katikati ya mwaka
Maana Nina mdogo wang anasoma form six ada imekuja kuongezeka katikati kweny muhula wa pili wa 4m6
.