Hapo ukute jamaa ni bonge la kipandeMimi nilipiga dili la pesa na jamaa yangu mmoja sasa nikamwambia tusubiri hela kwa mteja akilipa tutagawana huku kumbe zamani nishavuta mpunga haaa!! Siku si nyingi jamaa yangu uso kwa uso na mteja yule akamuulizia vipi hela yetu lini mteja akamwambia mbona nimeshalipa siku ile ile vp mwenzako hajakwambia.. Daah!! [emoji100] ilikuwa balaa muda huo nishatumbua mpunga karibia woteeee...
NB: Dhuluma sio nzuri kwenye kutafuta..
Nahuo pia ulikuwa ni uongo kwamaana sikuwa bafuni.Uliingia na sim bafun