Utakutana nae wapi?Dini ni hiari kufuata au kutokufuata
Luka 9:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Mkiingia katika nyumba; kaeni katika nyumba hiyo mpaka mtakapokuwa mnatoka katika mji huo. 5 Ikiwa watu katika mji mtakaoingia hawatawakaribisha, nendeni nje ya mji na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.”
6 Hivyo mitume wakaondoka. Walisafiri katika miji yote. Walihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
Mungu mwenyewe halazimishi watu kumfuata, angetaka angelazimisha. ameweka wazi tu matokeo ya uchaguzi wako
sasa wewe fanya kebehi mwisho wa siku utakutana naye
Ukutane nae wapi sasa?Dini ni hiari kufuata au kutokufuata
Luka 9:4-6
4 Mkiingia katika nyumba; kaeni katika nyumba hiyo mpaka mtakapokuwa mnatoka katika mji huo. 5 Ikiwa watu katika mji mtakaoingia hawatawakaribisha, nendeni nje ya mji na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Hivyo mitume wakaondoka. Walisafiri katika miji yote. Walihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
Mungu mwenyewe halazimishi watu kumfuata, angetaka angelazimisha. ameweka wazi tu matokeo ya uchaguzi wako
sasa wewe fanya kebehi mwisho wa siku utakutana naye
Sasa unamshauri asome biblia akati wameandika wadau wa fundi seremala broHivi,huwa unasoma biblia Kama wewe ni mkristo?Umewahi kupata miongozo ya namna ya kuisoma?Huwa unauliza unapotatizika au huwa unakimbilia kulalama tu?Unaamini katika lipi hadi sasa?
Dini ni hiari kufuata au kutokufuata
Luka 9:4-6
4 Mkiingia katika nyumba; kaeni katika nyumba hiyo mpaka mtakapokuwa mnatoka katika mji huo. 5 Ikiwa watu katika mji mtakaoingia hawatawakaribisha, nendeni nje ya mji na kuyakung'uta mavumbi miguuni mwenu kama onyo kwao.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Hivyo mitume wakaondoka. Walisafiri katika miji yote. Walihubiri Habari Njema na kuponya wagonjwa kila mahali.
Mungu mwenyewe halazimishi watu kumfuata, angetaka angelazimisha. ameweka wazi tu matokeo ya uchaguzi wako
sasa wewe fanya kebehi mwisho wa siku utakutana naye
Mkuu infinity do existChanzo Cha kila kitu kina kuwaje na chanzo ?
Shida yenu hamjibu maswali yangu ndio maana mnauliza maswali ambayo majibu yake yapo kwenye maelezo yangu yaliyo pita.
Nilikuuliza hivi, nipe sababu tatu tu kwazo zinalazimisha au kuonyesha haja ya chanzo Cha kila kitu lazima kiwe na chanzo.
Nikaenda mbali zaidi, kwamba mnithibitishie ya kuwa je "Infinity" ina exist ?
Biblia inasema mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu, pia MITHALI 30:5 - 6 inasema, Kila Neno la Mungu limehakikishwa, yeye ni Ngao yao wamwaminio.Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Biblia inasema mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu, pia MITHALI 30:5 - 6 inasema, Kila Neno la Mungu limehakikishwa, yeye ni Ngao yao wamwaminio.
niweke ushuhuda wa maisha yangu, maishani mwangu nimethibitisha pasi na shaka kwamba Neno la Mungu li hai, tena lina Nguvu, kwa kuliamini na kulifuata au na kulikiri vile lilivyo, Nguvu za giza huwa zinashindwa kabisa kabisa. Mungu akusaidie sana, hata watu wa mtaani wasio mjua Mungu wanasema ni heri uamini Mungu yupo kuliko kuamini kwamba hayupo ukaenda kumwona siku ya mwisho wako, ni hatari na kilio na kusaga meno, Mungu akufungue macho yako.
lakini hata pamoja na kufuru hii, Mungu bado anakupenda na anaweza kukusamehe dhambi zako zote kabisa, hata hii kufuru utasamehewa kama utaamua kutubu na kubadilisha maisha yako, uokoke ili uone utukufu wa Mungu maishani mwako.ni ushauri ambao ukiufuata utakusaidia sana ila kama hautaufuata kuna siku utaukumbuka wakati imekuwa too late. Jina la Bwana libarikiwe.
Mosi, ntakutana na Mungu yupi? People created so many of them
Pili, tutakuna naye wapi?
Mungu yupi huyo?Wa kuabudiwa ni MUNGU tuu hakuna mwingine
Si kweli,Ujinga tu na ego ya intelligence waliopewa
Watu wanataka Mungu awe wanavyotaka wao ili wampime kwa kadiri ya ufahamu wao
Absolutely true, And this is the good definition for something which does not exist.!God is beyond Matter Space and time
Mungu wa mbinguniMungu yupi huyo?
Mtu yoyote akisema hakuna Mungu ni moja kwa moja huyo mtu akili zake ni mbovu 100%Si kweli,
Wewe zndiye unataka Mungu awepo, na awe jinsi unavyotaka wewe.
Lakini ukweli Mungu huyo hayupo.
Maybe kama utaweza kumthibitisha hapa.
Absolutely true, And this is the good definition for something which does not exist.!
Space and time vipo ndani ya mungu ....mungu hawezi kuwa na time kwa sababu yeye apungui chochote wala aongezeki chochote ndiyo maana anao uwezo wa kurudisha muda nyuma au kuupeleka muda mbele au kufuta kabisa muda (time)Mkuu Unataka kusema Mungu ni black hole.
Mungu aliumba ulimwengu Kwa siku 6 ya 7 aka rest .
Hii inaonyesha Hata mungu hawezi kufanya chochote nje ya space and time .
Lakin kuna concept ya absolute time and absolute space.
Maana ya Kwamba time and space ni ya tofauti Kwa kila element.
Kwa hiyo mungu aliposema ameumba Kwa 6 na ya 7 aka rest, ni kulingana na sehemu alipo mungu na Kwa wakati huo.
Hata Sisi Huku duniani tumejiwekea Muda na space ambazo tumezipa majina.
Lakini ikitokea ukaishi nje ya dunia Basi time and Space vitabadilika , you know why? Bcz
Kila element ina time yake na space yake tofauti na mwingine.
Kwa hiyo space and time is illusions
Jamaa kaongea ukweli na uhalisia mtupu mulewakazikilize na Hatia VI ya Dizasta vina