rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Jamaa hajielewi[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sababu ni moja .. according to u kila kitu lazma kiwe na mwanzo...so ukisema Allah Hana mwanzo tayari umejicontradict...umefanya special pleading
Unataka umfanyaje?Yuko wap
Ana upendo ndio maana unapumua bila ya mashine wala kulipia😂Huo ni uthibitisho kuwa Mungu mwenye upendo wote hayupo!.
Mbona haujatoa hoja zako 😂😂sijaona hoja zako.Naona umeishiwa hoja
Nimeshakuambia mara kibao unataka dunia iwe sawa watu wote wawe sawa😂...Hoja yangu ni kukuomba uproof jibu lako la kuwa kuna Mungu.
Na inaonesha ni kwamba umeshindwa lakini una imani potofu tu.
Wewe unataka nitoe hoja kuhusu nini?
Mbinguni huendi bila kusoma, kwani mbinguni ni wapi?Akili ya kawaida inakubali ya kuwa kama Mungu ni mmoja basi dini ya Mungu lazima itakuwa Moja, mitume wote na manabii walikuwa Waislamu.
Sababu nyinyi sio wasomaji mnasikia sikia tu, ukisoma Historia ya hizo dini nyingine utaona uongo wake wa wazi.
Mbinguni huendi kwa kubahatisha, bali kwa elimu na kuitendea kazi elimu husika.
Mbinguni ni kule Roho huenda zikitoka kwenye miili yetu!!Mbinguni huendi bila kusoma, kwani mbinguni ni wapi?
Binadamu kapewa akili ndio maana anaweza kupambana dhidi ya mitihani pia ni kiumbe bora bora kabisa.Inawezekana vipi Mungu mjuzi wa yote atake kutupima?
Unamaanisha hajui matokeo?
Mkuu usilete mchezo na bikra 72[emoji3]Kwamba jua ni kiumbe kinatembea na kila siku linaomba rukhusa kwa Allah lichomoze?........ mkuu are you serious?
Kwamba vimondo tunavyo viona huwa vinampiga shetani?
Wakati mwingine kuamini na kutetea hizi imani inabidi ujitie uchizi kidogo kwa matumaini ya kuja kula bata milele huko peponi
Ukitumia akili wanakuambia just an illusion.Nah man, umri sio akili
Hujajibu swali, uislam ulianza lini?Adamu alikuwa Muislamu, Nuhu, Idriss, Hud, na wengine wote.
Smotor unahitaji ushahidi Wa aina gani kuthibitisha kwamba Mungu yupo??
Ndiyo maana nimeuliza Ili uwe ushahidi mnataka uweje??Labda wewe unao
Tunaomba utufahamishe
Kwa nini ni hadithi za kusadikika?Mungu, mbinguni, roho, ahetani, malaika vyote ni hadithi za kusadikika mkuu
Havipo
sawa baba wewe sindo uliyeweka sukari katika embee tunakushuru
Hapo mnabishania ladha ama ladha ya utamu??Eleza Sukari ni nini!?
Aliileta kiarabu vipi Tena wakati huko juu umesema mitume kuanzia Adam Musa, Hud walikuwa waislamu wote. Wao walisoma kuran ipi nyingine ustaadh!?Sababu Mtume alikuwa Muarabu akaileta kwa Kiarabu,kisha wengine wakajifunza Kiarabu, na uwezo wa kujifunza akauweka ndio maana tunajifunza na tunakijua, maana ukiona hujui Kiarabu ni wewe hujafanya juhudi, kwahiyo hii haiwezi kuwa hoja.
Ni hadithi za kusadikika kwa sababu Hazipo kwa namna yoyote ile,Kwa nini ni hadithi za kusadikika?