Uongo ni tamathali yenye maelezo yenye dhana ya kukinzana na uhalisia juu ya msingi tabainishi na kulazimisha sitiari na kuficha kunga za mlengwa katika jambo.ππKuna mtu ambaye hajawahi kuongopa wajameni.
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Naombeni jibu uongo ni nini?
Eti mapenzi bila uongo hayaendi? HAYAFANIKIWI.
JAMANI KWANI UONGO NI NINI?
Mrs Mganga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu wa kike anahitaji mwalimu wa kiswahili,upo tayariUongo ni tamathali yenye maelezo yenye dhana ya kukinzana na uhalisia juu ya msingi tabainishi na kulazimisha sitiari na kuficha kunga za mlengwa katika jambo.ππ
Hahahahah ila najua wewe ni mkweliUongo ni kuweka Avatar ya mtu mwenye makalio makubwa, wakati wewe mwenyewe umepigwa pasi.
Wekeni flat screen zenu, tutawapenda hivyo hivyo!
Natania, wanakuja wataalam wa lugha kutusaidia!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uongo ni taarifa isiyo ya kweli inayokaribiana na ukweli
note:uongo ni dhambi
Khaaaa umenichoka jamaniUongo ni kusema umeolewa na Mshana Jr wakati bado unadanga