Uongo unaoenezwa na Mashabiki wa Arabs na Fanatic Muslims umeharibu hadi kizazi cha Wapalestina wamekuwa nao waongo mbele ya Camera - Ni Aibu sana

Uongo unaoenezwa na Mashabiki wa Arabs na Fanatic Muslims umeharibu hadi kizazi cha Wapalestina wamekuwa nao waongo mbele ya Camera - Ni Aibu sana

Chuki mmeipanda wenyewe alafu mnashangaa wapalestina wakichukia wakoloni? Hivi Idd Amin angeikalia Kagera hadi leo kuna mtu angeipenda Uganda?
 
Chuki mmeipanda wenyewe alafu mnashangaa wapalestina wakichukia wakoloni? Hivi Idd Amin angeikalia Kagera hadi leo kuna mtu angeipenda Uganda?
Wewe, waislamu wenzio wa Palestina ni waongo tu. Na mara wakiwa wamebano na ushetani ukiithiri dhidi ya waarabu wenzao wanaowatelekeza basi hufichua siri yoote kuwa wao kiukweli ni waarabu wenye asili huko Misri, Saudia na Jordan.
Msikilize huyu muabudu shetani, kaallah anachosema


View: https://x.com/CherylWroteIt/status/1895021765073436763
 
Chuki mmeipanda wenyewe alafu mnashangaa wapalestina wakichukia wakoloni? Hivi Idd Amin angeikalia Kagera hadi leo kuna mtu angeipenda Uganda?
Kajipange vizuri hata hujui hiyo Palestina unayoishobokea ilianzishwa na Yasser Arafat 1967
 

Attachments

  • IMG_1160.jpeg
    IMG_1160.jpeg
    72.2 KB · Views: 1
Salahadeen ayubi alikuwa ni Mkurdi hakuwa Mpalestina wa kale.
 
Kikubwa ni kwamba kupigana ili kukomboa nchi na utambilisho wake dhidi ya wakoloni , ni kama ibada Kwa watu hawa.
Licha ya kuuawa Kwa maelfu lakini viita ya ukombozi hawataiacha Leo Wala kesho. Unajua Nini watu hawa wote wako tayari kufa hata kama mapigano Yao yatatishia kusambaratika Kwa identity Yao! Walimwengu walishangaa kuona namna ambavyo watu hawa wanA mioyo ya kishujaa ilipotangazwa cease fire. Maelfu ya vijana, watoto , kinamama, wazee na vibibi walijitokeza hadharani wakiwa na Furaha kubwa, kubwa zaidi kuliko Furaha waliokuwa nayo waliojaribu kufanya Ethnic cleansing...
Wamegundua wapalestina so waogawaoga hivyo basi Bora wajaribu kuwahamisha. Kwa uwezo wa mungu Hili halitafanikiwa.
From land to the sea Palestine will be free!
 
Kajipange vizuri hata hujui hiyo Palestina unayoishobokea ilianzishwa na Yasser Arafat 1967
Kumbe!! Kwahiyo Tanzania kuanzishwa 1964 ina maana hakukuwa na wenyeji kabla ya 1964? Au hiyo British palestine waliishi wazungu?

Embicile
 
Mimi sio muislam, mkapa, Nyerere na Mandela wote ni wakristo ila waliunga mkono Palestine. Hata julius malema ni mkristo ila anaipambania Palestine!
Hao wote uliowataja wewe umewafanya kuwa miungu kwako? Wote ni binadamu wanaweza kufanya makosa.
 
Kumbe!! Kwahiyo Tanzania kuanzishwa 1964 ina maana hakukuwa na wenyeji kabla ya 1964? Au hiyo British palestine waliishi wazungu?

Embicile
Tuliza akili Acha papara haijawahi kutokea Palestina ikawa nchi bali wajinga kama wewe wanashobokea hiyo kitu lakini toka mwanzo haijawahi kuwepo!!
 
Hao wote uliowataja wewe umewafanya kuwa miungu kwako? Wote ni binadamu wanaweza kufanya makosa.
Ndio sasa usiseme kila anayepinga utawala haramu wa kizayuni eti ni muislam. Tupo wakristo ambao hatufurahishwi na uonevu wa aina hii.
 
Ndio sasa usiseme kila anayepinga utawala haramu wa kizayuni eti ni muislam. Tupo wakristo ambao hatufurahishwi na uonevu wa aina hii.
Tumia akili zako vizuri hapo Uislamu na Ukristo umeingiaje? Acha kuwa mtumwa wa fikra Nyerere na Mandela wana mapungufu yao lakini ukweli unabaki palepalr Palestina haikuwahi kuwa nchi na haitatokea iwe nchi kama utaendelea kukaza fuvu nitakuuliza Rais wa hiyo nchi alikuwa nani wakati inachukuliwa.,Pesa yao ilikuwa ipi Dollar,Shilling au Dinar hiyo nchi ilikuwa inapakana na nchi gani?
 
Back
Top Bottom