Uongo wa BeinSports kwenye uchambuzi wao kuhusu goli la Yanga

Uongo wa BeinSports kwenye uchambuzi wao kuhusu goli la Yanga

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Wanasema kila kitu hutokea kwasababu, tunasikitika Yanga kudhurumiwa goli lililo halali ila pamoja na hilo Yanga imeongeza idadi kubwa sana ya watu kuwazungumzia. Lile goli limeleta gumzo haswa katika soka la Africa. Nilikuwa naamini kwamba ni makosa tu ya waamuzi na hakuna maelekezo yeyote kutoka juu ila baada ya kuona nguvu kubwa inatumika kuwaaminisha umma kuwa halikuwa goli ndio naingiwa na mashaka kuwa pengine mtu wa juu alitoa maelekezo maalumu kwenye hilo tukio.

Bein sport ni kituo kikubwa cha urushaji wa matangazo ya mpira ila ajabu wametumika kuzima hili dhurma iliyowazi kabisa. Ukiangalia video inayochambulia na Bein sports ina uongo mwingi sana kutoka kwenye uhalisia.

1) video ya goli iliyotumika sio shuti la Aziz Ki na ndio maana ukiangalia kwa makini hawaweki muendelezo kwanzia shuti linapigwa hadi linaenda golini bali video yao ni ya kukatisha katisha tu.

2) angalia mabango ya matangazo nyuma ya goli la Mamelodi, Bein sports wameweka mabango yapo mbali kabisa na golini wakati kiuhalisia mabango yalikuwa yapo karibu kabisa na lilipo goli la Mamelodi hivyo ni wazi pengine wameedit au wamechukua shuti la mchezaji tofauti na Aziz Ki kisha wakajifanya kulitolea ufafanuzi.

Lakini yote haya yanafanyika kwasababu mashabiki wameonesha kutoridhika na maamuzi ya waamuzi ni jambo limeongeza umaarufu na kufanya trending story kwenye michuano ya CAF CL hatua hii.
adakiss23 GenuineMan matunduizi[/USER [USER=427454]Scars

 
Mtanzania Ficha Upumbavu.

1. Kitu pekee kinachoweza kutoa majibu pale ni Goal line technology.

2. Kitu kinachoweza kutoa majibu cha pili lakini sio sahihi ni Camera ya nyuma yenye
Resolution ya juu 1080p au 4k.

3. Kamwera ya mbele inayotumika pale haiwezi kukupa majibu sahihi.
Dstv Azam nk

4.mimi binafsi baada ya Kuangalia Camera ya nyuma Hakuna Goli.


LILE SIO GOLI KABISA, HAKUNA GOLI KAMA LILE OTHERWISE REFA AWE MUUNI.
 
Mtanzania Ficha Upumbavu.

1. Kitu pekee kinachoweza kutoa majibu pale ni Goal line technology.

2. Kitu kinachoweza kutoa majibu cha pili lakini sio sahihi ni Camera ya nyuma yenye
Resolution ya juu 1080p au 4k.

3. Kamwera ya mbele inayotumika pale haiwezi kukupa majibu sahihi.
Dstv Azam nk

4.mimi binafsi baada ya Kuangalia Camera ya nyuma Hakuna Goli.


LILE SIO GOLI KABISA, HAKUNA GOLI KAMA LILE OTHERWISE REFA AWE MUUNI.
Ila usiache pia kusema kama ni kolowizard au mwananchi,ili angalao tuende sawa.
 
Mtanzania Ficha Upumbavu.

1. Kitu pekee kinachoweza kutoa majibu pale ni Goal line technology.

2. Kitu kinachoweza kutoa majibu cha pili lakini sio sahihi ni Camera ya nyuma yenye
Resolution ya juu 1080p au 4k.

3. Kamwera ya mbele inayotumika pale haiwezi kukupa majibu sahihi.
Dstv Azam nk

4.mimi binafsi baada ya Kuangalia Camera ya nyuma Hakuna Goli.


LILE SIO GOLI KABISA, HAKUNA GOLI KAMA LILE OTHERWISE REFA AWE MUUNI.
Ipo siku yatawakuta halafu tutaona nini mtachokuwa mnasema.
 
Mtanzania Ficha Upumbavu.

1. Kitu pekee kinachoweza kutoa majibu pale ni Goal line technology.

2. Kitu kinachoweza kutoa majibu cha pili lakini sio sahihi ni Camera ya nyuma yenye
Resolution ya juu 1080p au 4k.

3. Kamwera ya mbele inayotumika pale haiwezi kukupa majibu sahihi.
Dstv Azam nk

4.mimi binafsi baada ya Kuangalia Camera ya nyuma Hakuna Goli.


LILE SIO GOLI KABISA, HAKUNA GOLI KAMA LILE OTHERWISE REFA AWE MUUNI.
Umesoma uzi mpaka mwisho? Umeona hoja mbili nilizozitoa kuhusu uchambuzi uliofanywa na Bein sports mbona hujajibu hizo hoja unaongea habari zako?

Halafu pole kwa kutolewa FA cup naona mmebakiza kombe moja tu la kugombea msimu huu
 
Wanasema kila kitu hutokea kwasababu, tunasikitika Yanga kudhurumiwa goli lililo halali ila pamoja na hilo Yanga imeongeza idadi kubwa sana ya watu kuwazungumzia. Lile goli limeleta gumzo haswa katika soka la Africa. Nilikuwa naamini kwamba ni makosa tu ya waamuzi na hakuna maelekezo yeyote kutoka juu ila baada ya kuona nguvu kubwa inatumika kuwaaminisha umma kuwa halikuwa goli ndio naingiwa na mashaka kuwa pengine mtu wa juu alitoa maelekezo maalumu kwenye hilo tukio.

Bein sport ni kituo kikubwa cha urushaji wa matangazo ya mpira ila ajabu wametumika kuzima hili dhurma iliyowazi kabisa. Ukiangalia video inayochambulia na Bein sports ina uongo mwingi sana kutoka kwenye uhalisia.

1) video ya goli iliyotumika sio shuti la Aziz Ki na ndio maana ukiangalia kwa makini hawaweki muendelezo kwanzia shuti linapigwa hadi linaenda golini bali video yao ni ya kukatisha katisha tu.

2) angalia mabango ya matangazo nyuma ya goli la Mamelodi, Bein sports wameweka mabango yapo mbali kabisa na golini wakati kiuhalisia mabango yalikuwa yapo karibu kabisa na lilipo goli la Mamelodi hivyo ni wazi pengine wameedit au wamechukua shuti la mchezaji tofauti na Aziz Ki kisha wakajifanya kulitolea ufafanuzi.

Lakini yote haya yanafanyika kwasababu mashabiki wameonesha kutoridhika na maamuzi ya waamuzi ni jambo limeongeza umaarufu na kufanya trending story kwenye michuano ya CAF CL hatua hii.
adakiss23 GenuineMan matunduizi[/USER [USER=427454]Scars

achana nao
 
Mtanzania Ficha Upumbavu.

1. Kitu pekee kinachoweza kutoa majibu pale ni Goal line technology.

2. Kitu kinachoweza kutoa majibu cha pili lakini sio sahihi ni Camera ya nyuma yenye
Resolution ya juu 1080p au 4k.

3. Kamwera ya mbele inayotumika pale haiwezi kukupa majibu sahihi.
Dstv Azam nk

4.mimi binafsi baada ya Kuangalia Camera ya nyuma Hakuna Goli.


LILE SIO GOLI KABISA, HAKUNA GOLI KAMA LILE OTHERWISE REFA AWE MUUNI.
Tuwekee video toka kamera ya nyuma ya goli tukushike uongo.
Ungesema kamera ya juu ya goli kidogo ungeeleweka, lakini kamera ya nyuma ya goli ina msaada gani?
 
Ila usiache pia kusema kama ni kolowizard au mwananchi,ili angalao tuende sawa.

Mimi sina huo upumbavu wa simba na yanga.

Mimi ni mdau wa soka.
Ila huwa sipendezwi na Hoja za mashabiki wa yanga wengi ni wajinga hawana akili wenyenye akili ni 2 tu

Mimi ni mdau wa soka nimefanya kazi simba ya mafanikio basi.
 
Ipo siku yatawakuta halafu tutaona nini mtachokuwa mnasema.

Kama unadhani mimi nipo Upande wa simba unakosea sana.

Simba pia aliwahi kutolewa Robo Fainali na Orando pirates kwa Goli la Kuotea mfungaji alikuwa Offside.
 
Tuwekee video toka kamera ya nyuma ya goli tukushike uongo.
Ungesema kamera ya juu ya goli kidogo ungeeleweka, lakini kamera ya nyuma ya goli ina msaada gani?

Wewe hujui Mpira ujifunze kuuliza kwa wanao jua kiungwana.

OTHERWISE BILA BILA.
 
Mimi sina huo upumbavu wa simba na yanga.

Mimi ni mdau wa soka.
Ila huwa sipendezwi na Hoja za mashabiki wa yanga wengi ni wajinga hawana akili wenyenye akili ni 2 tu

Mimi ni mdau wa soka nimefanya kazi simba ya mafanikio basi.
Sasa mbona unaegemea kwa kolo🤔
 
Umesoma uzi mpaka mwisho? Umeona hoja mbili nilizozitoa kuhusu uchambuzi uliofanywa na Bein sports mbona hujajibu hizo hoja unaongea habari zako?

Halafu pole kwa kutolewa FA cup naona mmebakiza kombe moja tu la kugombea msimu huu

Unadhani VAR inaeditiwa,?????
 
Mimi sina huo upumbavu wa simba na yanga.

Mimi ni mdau wa soka.
Ila huwa sipendezwi na Hoja za mashabiki wa yanga wengi ni wajinga hawana akili wenyenye akili ni 2 tu

Mimi ni mdau wa soka nimefanya kazi simba ya mafanikio basi.
Kwahiyo hata baba yako nae hana akili?
 
Back
Top Bottom