Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024

Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
Hivi ndivyo tunavyoweza kusema kwani serikali imerudia kusema mara kwa mara kupitia waziri wa OR Tamisemi menejimenti ya utumishi wa umma kwamba serikali itawapandisha Madaraja watumishi 81000 lakini hakuna taarifa yeyote inayotolewa kwa watumishi hao wala kubainishwa.

Hii inakatisha tamaa watumishi kwamba hadi mwezi may 2024 hakuna kilichofanywa. Ikumbukwe maafisa utumishi walokuwa na Kambi DODOMA ya kuwabaini watumishi hao lakini kumbe waliutangazia umma kwamba wanatatua kero za wananchi kupitia vyombo vya habari kumbe hakuna kitu.

pia SOMA
- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024

- Madaraja na mserereko wa madaraja kwa watumishi ni porojo tu. Serikali hakuna hela?

- Uongo wa Serikali katika kupandisha watumishi madaraja mwaka wa fedha 2023/2024
 
Taarifa zimekuwa nyeti sana zaidi ya walio husika kumkamata bin laden

Ni confidential hasa hasa. Sidhani kama kuna afisa utumishi amesha pokea maelekezo yoyote NA KAMA YUPO BASI MAELEKEZO HAYO YANA MHURI WA MOTO WENYE NENO

S I R I
 
𝔸𝕔𝕙𝕒 𝕜𝕖𝕝𝕖𝕝𝕖,𝕤𝕚𝕜𝕦 𝕙𝕚𝕫𝕚 𝕞𝕒𝕕𝕒𝕣𝕒𝕛𝕒 𝕟𝕚 𝕜𝕚𝕞𝕪𝕒 𝕜𝕚𝕞𝕪𝕒,𝕙𝕒𝕜𝕦𝕟𝕒,𝕜𝕖𝕝𝕖𝕝𝕖 𝕞𝕚𝕟𝕘𝕚 𝕓𝕨𝕒𝕟𝕒 𝕨𝕖𝕨𝕖
 
Baba mkwe anamsaidia mama usaniii, hii nakumbuka watumishi waliombwa documents kwa mbwebwe mafisa utumishi nchi nzima wakawa Dodoma takribani wiki mbili wanakula per diem tu kudadeki makamera kibao waziri naye anaongea kwa bahasa kubwa haya sasa watumishi


MADARAJA YAPO WAPI YAPO WAPI 😂😂😂 USANII JUU YA USANII MUULIZENI WAZIRI MCHENGELWA MADARAJA YAPO WAPI AU YAMEBEBWA NA KIMBUNGA HIDAYA
 
𝔸𝕔𝕙𝕒 𝕜𝕖𝕝𝕖𝕝𝕖,𝕤𝕚𝕜𝕦 𝕙𝕚𝕫𝕚 𝕞𝕒𝕕𝕒𝕣𝕒𝕛𝕒 𝕟𝕚 𝕜𝕚𝕞𝕪𝕒 𝕜𝕚𝕞𝕪𝕒,𝕙𝕒𝕜𝕦𝕟𝕒,𝕜𝕖𝕝𝕖𝕝𝕖 𝕞𝕚𝕟𝕘𝕚 𝕓𝕨𝕒𝕟𝕒 𝕨𝕖𝕨𝕖
Tetesi mkulungwa zipoje huko?
 
Aliyeshiba hamjuwi mwenye njaa. Haya mane no ya wahenga Yana maana sana.
 
Humu ndani hakuna maafisa utumishi?Watusaidie kutupa taarifa za chinichini kwani payrol washazipita.Tujue kama Kuna walioramba asali
 
Back
Top Bottom