T twende kazi JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 1,520 Reaction score 461 Oct 1, 2012 #1 Naomba mtoe kipaumbele kwa wanafuzi wa first year ktk utoaji wa hosteli za ndani hususani wale waliowahi kuanzia jana kwani wengi wao ni wageni wa mji..!
Naomba mtoe kipaumbele kwa wanafuzi wa first year ktk utoaji wa hosteli za ndani hususani wale waliowahi kuanzia jana kwani wengi wao ni wageni wa mji..!
Puppy JF-Expert Member Joined Oct 6, 2011 Posts 2,995 Reaction score 2,513 Oct 1, 2012 #2 Makumira hakunaga shida, first year hupewaga kipaumbele. Usiwe muoga.
T twende kazi JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 1,520 Reaction score 461 Oct 1, 2012 Thread starter #3 Watu wametoswa mkuu..!
oxlade JF-Expert Member Joined Jul 8, 2012 Posts 601 Reaction score 96 Oct 1, 2012 #4 first year mpaka muda huu hawana pa kukaa na hawajui pa kwenda zaidi ya nusu ya wanafunzi
Kurzweil JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 6,621 Reaction score 8,411 Oct 1, 2012 #5 Kuna jimbo langu la zamani pande hizo. . .
T twende kazi JF-Expert Member Joined Apr 3, 2012 Posts 1,520 Reaction score 461 Oct 1, 2012 Thread starter #6 oxlade said: first year mpaka muda huu hawana pa kukaa na hawajui pa kwenda zaidi ya nusu ya wanafunzi Click to expand... kweli kabisa uongozi unapaswa kuchukua hatua..!
oxlade said: first year mpaka muda huu hawana pa kukaa na hawajui pa kwenda zaidi ya nusu ya wanafunzi Click to expand... kweli kabisa uongozi unapaswa kuchukua hatua..!