Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

Uongozi mpya wa Bavicha kuchaguliwa leo

Yap tupo Engine room leo tunawaletea WaTanzania MASHINE YA KAZI ....huko Lumumba mjipange hii ni Extra Lemanism!!!

Amini Chadema ni kiwanda cha kufuwa Wakombozi
 
Mahinyila ni mtu sana Ila ata Masoud Mambo yupo vyema pia,shida yake alianza kumkashifu na kumtuhumu Lissu alipoanza kusema tuhuma za ufisadi ndani ya Chama
 
BAVICHA ilikuwa ya Heche tu, wengine hawa ni mamluki anaingiza Mbowe toka CCM
 
Back
Top Bottom