Uongozi NMB tawi la ifakara wazembe,siku ya 5 sasa pesa hakuna

Uongozi NMB tawi la ifakara wazembe,siku ya 5 sasa pesa hakuna

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
Bado sijaelewa management ya NMB tawi la ifakara ni wazembe au ndo bank imefulia. Uwezi kuamini ni siku ya 5 leo hawana pesa,hata kwenye ATM!. Vp jamani! Kunani? Au ndo pesa zetu zinalipa wafanyakazi, kumbuka sakata la zitto na mkulo. Zitto anadai serekali imekopa kwenye mabank kulipa wafanyakazi! Inawezekanaje m2 atake kudraw 5000000/=apewe 1000000/=NMB Kwa kweli mmfulia.
 
nmb ifakara wamechoka kupita kawaida-wilaya nzima ya kilombero atm machine mbili tu-this is absurd.ukiwaambia waweke atm maeneo mbalimbali utasikia oohh lazima sijui atm iliyopo ihudumie watu laki kumi.mi nadhani hizi policy ziwe flexible kidogo geography ya kilombero iko complex kidogo.unajua pale benki juu kuna watu wanaishi daws ikigoma unampandia kulekule juu kama ni weekend,maana nadhani meneja ndo anaishi kule juu.
 
Ukishangaa ya musa utaona ya frauni, na hii ndo tz.
 
Back
Top Bottom