Simba SC inazidi kupotea midomoni mwa washabiki na wadau wa soka hapa nchini, Umefika wakati wa Aveva na benchi lake wajitafakari na kuchukua hatua stahiki!
utashangaa na ubovu wote huo YANGA wanahangaika kurudisha 5-0 mpaka leo.. Manji pamoja na kumwaga pesa zote lakini anapokutana na mnyama lazima akae!!!