brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Aidan Charlie ambaye ni meneja msaidizi kutoka
kwenye Menejimenti ya mwimbaji staa wa
bongofleva Alikiba ameongea kuhusu tuhuma
mbalimbali zilizotolewa dhidi ya Alikiba
kutokana na show ya Mombasa iliyofanyika
weekend iliyopita na zifuatazo ni kauli zake.
1. Sio kweli kwamba Alikiba alisema yeye
ni msanii mkubwa Afrika Mashariki
hivyo Wizkid ndio alitakiwa kupanda
stejini kabla yake, alietoa hizo habari
kadanganya.
2. Kilichotokea ni kwamba kiujumla
Waandaaji hawakuwa wamejipanga
vyema, show ilitakiwa kuanza saa nane
mchana lakini wakaipeleka mbele
mpaka saa tatu usiku .
3. Ishu ilikua wakati Chris Brown alipofika
kuliangalia jukwaa na kuzoea mazingira
ilibidi seti yote ya Alikiba iliyopangwa
jukwaani iondolewe pamoja na watu wa
Ali, hiyo ikafanya Alikiba achelewe
kufanya rehearsal ambapo alimaliza saa
mbili usiku na kurudi hotelini kwenda
kujiandaa na show.
4. Tumerudi tu hotelini tunapigiwa simu
kuambiwa mnatakiwa kupanda kwenye
stage ikabidi Alikiba arudi uwanjani
lakini muda ulikua umeyoyoma na
Chris Brown alitakiwa kutumbuiza
mapema ili awahi Airport.
5. Hakuna kutunishiana misuli kokote kati
ya Wizkid na Alikiba, wawili hawa wako
vizuri na walikua wanaongea backstage
na Wizkid alimwambia Ali haondoki
uwanjani mpaka aone show yake….
Source: millard ayo
kwenye Menejimenti ya mwimbaji staa wa
bongofleva Alikiba ameongea kuhusu tuhuma
mbalimbali zilizotolewa dhidi ya Alikiba
kutokana na show ya Mombasa iliyofanyika
weekend iliyopita na zifuatazo ni kauli zake.
1. Sio kweli kwamba Alikiba alisema yeye
ni msanii mkubwa Afrika Mashariki
hivyo Wizkid ndio alitakiwa kupanda
stejini kabla yake, alietoa hizo habari
kadanganya.
2. Kilichotokea ni kwamba kiujumla
Waandaaji hawakuwa wamejipanga
vyema, show ilitakiwa kuanza saa nane
mchana lakini wakaipeleka mbele
mpaka saa tatu usiku .
3. Ishu ilikua wakati Chris Brown alipofika
kuliangalia jukwaa na kuzoea mazingira
ilibidi seti yote ya Alikiba iliyopangwa
jukwaani iondolewe pamoja na watu wa
Ali, hiyo ikafanya Alikiba achelewe
kufanya rehearsal ambapo alimaliza saa
mbili usiku na kurudi hotelini kwenda
kujiandaa na show.
4. Tumerudi tu hotelini tunapigiwa simu
kuambiwa mnatakiwa kupanda kwenye
stage ikabidi Alikiba arudi uwanjani
lakini muda ulikua umeyoyoma na
Chris Brown alitakiwa kutumbuiza
mapema ili awahi Airport.
5. Hakuna kutunishiana misuli kokote kati
ya Wizkid na Alikiba, wawili hawa wako
vizuri na walikua wanaongea backstage
na Wizkid alimwambia Ali haondoki
uwanjani mpaka aone show yake….
Source: millard ayo