Uongozi wa Alikiba wajibu kilichotokea Mombasa

Aibu...aibu...aibuuu!!!meneja anasema kingine,msanii anasema kingine!!!Alikiba kubali tu kwamba unaroho mbaya basiii..na ndio maana huendelei kwa chuki zako

Media zooote za Kenya zimeripoti kuhusu Uongo wa Kiba mpaka hurumaa...yaani wakenya kweli hawapendi ujinga,wanamchamba Alikiba kwenye Vituo vya Radio mpaka nimejikuta naingiwa na huruma!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…