.
mtu kama huyu apewe contact haraka kwa anyejua mawasiliano na hao viongozi ili kazi ianze mara moja.
Mimi Pia naunga mkono kwa kwa 100%.
Mie Pia ni Computer Engineer, najitolea kushirikiana na wezangu waliojitolea kutengeneza hii database. Tunasubiri maelekezo ya uongozi.