Uongozi wa Simba: Mmechafuliwa Kenya na Zambia chukueni hatua

Yang wanafanya misinformation za kufa MTU tangu mwaka juzi iliwachanganya hadi as vita,platinum wamekuwa wastaarabu wamepongeza simba kwenye website yao ingawa walirukia madirishani
Waliwaambia AS Vita kwamba Simba inapuliza dawa vyumba vya uwanjani hadi wakavalia jezi nje ya vyumba na wakafungwa vilevile.
Hawa jamaa badala ya kucheza mpira ili wafike hapo walipofika Namungo, wanaishia kufanya propaganda chafu dhidi ya Simba.

Mechi zote nne ambazo zimeifanya Simba kufuzu makundi ya Club Bingwa Afrika zimechezwa wazi kabisa.
Hadi wale Plateu ya Nigeria baada ya mpira walikumbatiana na wachezaji wa Simba na Wakasali kwa upendo kabisa kumaanisha wamecheza katika mahusiano mazuri.
Yanga kazi yao ni kuwapokea Uwanja wandege wapinzani wa Simba, kupiga domo tu basi.
Mpira umewashinda.
 
Wewe utaendelea kuumiza roho yako lakini CAF tangu zamani kabla ya Covd19 inajua Simba ni moja ya timu kubwa kabisa barani Africa, kupiga mtu goli 4 ni kitu cha kawaida, hata Yanga wanatambua
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
 
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
Mzee weka facts malalamiko yamewasilishwa wapi au vijiwe vya kahawa vya karume?
 
Fedha za MO ndizo zinazo ibeba Simba kuanzia kuhonga Marefa, ku fake vipimo vya covid kwa timu pinzani, kutumia waganga wa mapaka ndio maana coach anaoekana anakula fedha za bure wamemtimua, Kwasasa Babra Ana andaliwa kuchukua mikoba ya kocha.
Kwann na nyie msihonge hao marefa? Daah since 1998. AIBU KUBWA

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Wewe utaendelea kuumiza roho yako lakini CAF tangu zamani kabla ya Covd19 inajua Simba ni moja ya timu kubwa kabisa barani Africa, kupiga mtu goli 4 ni kitu cha kawaida, hata Yanga wanatambua
Yanga wenyewe tulishawafunga goli nne
 
Kabla ya Covd19 watu walishachezea vichapo kwa Mkapa, na CAF inajua hilo. Itapuuzwa na itapita. Kama ni blog, mtu yeyote anaweza akawa nayo na akaandika chochote, hasa kama hawana mamlaka zinazowabana wamiliki na waandishi kama huku kwetu
Tatizo lenu mliamini Simba atatolewa, sasa imekuwa kinyume chake ndio.hamuishi kuhangaika.

Kama una ushahidi wa rushwa peleka CAF au TAKUKURU, kama hamna wacheni kelele zenu na mwenzio Kitenge.
 
Wao wanahangaika na Maulid Kitenge
 
Caf ni wala rushwa kamishna wao wa mchezo akihongwa ndo basi tena hakuna oa kulalamika. Kama rais wa Caf kala rushwa, hawa kina Karia wafanyeje
Kwa hiyo yale malalamiko yenu juu ya Morrison CAF walikula rushwa siyo?
 
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
Usubiri nini tena wakati CAF imeshaipangia Simba kundi? Mnaumia roho bure wakati Platnum wenyewe wameipongeza Simba na kuitakia heri
 
Haya tusubiri tuone...ila Kuna kitu kinakuja...I smell a rat...wajanja siyo Simba peke yao...Don't forget that...something is cooking...tusubiri tuone...malalamiko yamekuwa mengi mno...
Tusubiri tuone nini wewe,Na kiingereza chako cha Nigeria hicho.
 
Mmojawapo ya wanaoichafua Simba ni Maulid Kitenge, na ametengewa fungu kubwa na hao wafadhili wake kwa kazi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…