Kila mtu na starehe yake ndugu, huenda na wewe uko vizuri sana kwenye wamama na pombe ila hakuna anayejali.Sina Kaz ila siwez kwenda kutizama. Mpira TV yenywe siangalia ovyo ovyo ilimradi tu .tv nawasha saa moja jioni had saa tano na nusu Kisha itazimwa had kesho jioni Tena
Sas wew mwezangu una funga safari kutoka bunju had taifa kweli
Mm Happ Niko karibu kabsa na uwanja wa Mpira Ni dkika tano hapa niloko kufika hapo taifa ila uwez niona huko kbsa Kam Ni Mpira nitatizama kwa tv tu Basi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hatuwezi kufanana ..wengine bar ipo hapo jirani na hawaendiSina Kaz ila siwez kwenda kutizama. Mpira TV yenywe siangalia ovyo ovyo ilimradi tu .tv nawasha saa moja jioni had saa tano na nusu Kisha itazimwa had kesho jioni Tena
Sas wew mwezangu una funga safari kutoka bunju had taifa kweli
Mm Happ Niko karibu kabsa na uwanja wa Mpira Ni dkika tano hapa niloko kufika hapo taifa ila uwez niona huko kbsa Kam Ni Mpira nitatizama kwa tv tu Basi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu usisahau kutupa update..kwenye LiveScore wamesema imeahirishwa.Mchezo ndiyo unaanza sasa..
Mda huu ni tukio la Dk 1 ya maombelezo
Tuwekee kikosi cha leo basiNimeanza kuelewa falsafa ya simba sasa.
Kuna team flani ivi inatafutwa ya maana sana.
Hili nalizungumza baada ya kuona vijana wadogo waliyoanza 1st eleven ya leo.
[emoji3][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3] msheeeenz kweli.Mkuu asubuhi yote hii unaangalia mpira? Tena wa bure na bado unaleta makasiriko?
Mh Waziri ongeza tozo.
Sent from my TECNO CG7 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli kwa wamama Niko vzr Happ penywe nalisubiria aje apanue nizamishe dusheeeKila mtu na starehe yake ndugu, huenda na wewe uko vizuri sana kwenye wamama na pombe ila hakuna anayejali.
Naona sasa inacheza Simba B. radha ya mpira imeisha
Ivumilie starehe ya mwenzako pia.Kwa kweli kwa wamama Niko vzr Happ penywe nalisubiria aje apanue nizamishe dusheee
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app