NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Heshima imefuata mkondo wake.Kwa taarifa nilizozisikia ni kwamba Mgunda aliweka masharti.
1 apewe mkataba unaotambulika kabisa.
2 kama atakuja kocha Mkuu, yeye asitolewe awe msaidizi na sio kocha aje na msaidizi wake.
3 amekataa dharau, mambo yakiwashinda ndio mnamkumbuka so this time around anataka heshima ifate mkondo wake.
Hizo ndo terms nzuri za mkataba, alikuwa anaenda vizuri wakamweka kando,leo wakifeli wanamkimbilia tena ,ni madharau kuonekana upo cheapKwa taarifa nilizozisikia ni kwamba Mgunda aliweka masharti.
1 apewe mkataba unaotambulika kabisa.
2 kama atakuja kocha Mkuu, yeye asitolewe awe msaidizi na sio kocha aje na msaidizi wake.
3 amekataa dharau, mambo yakiwashinda ndio mnamkumbuka so this time around anataka heshima ifate mkondo wake.
Yeah.. walimkosea sana.Hizo ndo terms nzuri za mkataba, alikuwa anaenda vizuri wakamweka kando,leo wakifeli wanamkimbilia tena ,ni madharau kuonekana upo cheap
Hawa takukuru inawahusuNilishangazwa kuona timu anakabidhiwa Daniel Cadena ambaye ni kocha wa makipa wakati Kuna kocha mbobevu na mwenye uzoefu mkubwa katika michuano ya ndani na kimataifa si mwingine ni kochaJuma Mgunda.
inakuache kocha wa Makipa anakabidhiwa timu?!
Nini kipo nyuma ya pazia mpaka kocha Juma Mgunda anaachwa na kutopewa timu Ina maana viongozi wamesahau mchango wa Juma Mgunda ndani ya Simba sc !?
Kwa Simba sc kudondosha point mbili muhimu dhidi ya Namungo Fc wakulaumiwa ni viongozi na si vingine.
Tukubal tukatae Juma Mgunda Ni moja ya makocha wazuri wazawa ndani ya ligi yetu.View attachment 2812978
Hata Mimi nilishangaa kumuona matola Tena.Huwezi kujua inawezekana alikataa, kupokea timu ikiwa haina team work na hawapo sawa kisaikolojia inahitaji moyo maana yeye pia anaangalia CV yake.
Lakini najiuliza kwanini viongozi wa Simba wanamwamini zaidi Matola kuwepo kwenye benchi la ufundi mbona ashawahi kuachiwa timu kwa mda na uwezo wake ni mdogo mno.
Huyo NI kocha wa makipa mzeeKocha mpya akikubali kufanya kazi na matola tu ameisha ataliwa kichwa mapema kuliko robertinyo.
KAMA NI HIVYO BASI KACHEZA KAMA PELE.Kwa taarifa nilizozisikia ni kwamba Mgunda aliweka masharti.
1 apewe mkataba unaotambulika kabisa.
2 kama atakuja kocha Mkuu, yeye asitolewe awe msaidizi na sio kocha aje na msaidizi wake.
3 amekataa dharau, mambo yakiwashinda ndio mnamkumbuka so this time around anataka heshima ifate mkondo wake.
Matola ana skendo gani mkuuHata Mimi nilishangaa kumuona matola Tena.
Naona sasa tunamtaka ANDAZI!Nilishangazwa kuona timu anakabidhiwa Daniel Cadena ambaye ni kocha wa makipa wakati Kuna kocha mbobevu na mwenye uzoefu mkubwa katika michuano ya ndani na kimataifa si mwingine ni kochaJuma Mgunda.
inakuache kocha wa Makipa anakabidhiwa timu?!
Nini kipo nyuma ya pazia mpaka kocha Juma Mgunda anaachwa na kutopewa timu Ina maana viongozi wamesahau mchango wa Juma Mgunda ndani ya Simba sc !?
Kwa Simba sc kudondosha point mbili muhimu dhidi ya Namungo Fc wakulaumiwa ni viongozi na si vingine.
Tukubal tukatae Juma Mgunda Ni moja ya makocha wazuri wazawa ndani ya ligi yetu.
View attachment 2812978
UloziMatola ana skendo gani mkuu
huyo ni mganga wa kienyeji sio kochaNilishangazwa kuona timu anakabidhiwa Daniel Cadena ambaye ni kocha wa makipa wakati Kuna kocha mbobevu na mwenye uzoefu mkubwa katika michuano ya ndani na kimataifa si mwingine ni kochaJuma Mgunda.
inakuache kocha wa Makipa anakabidhiwa timu?!
Nini kipo nyuma ya pazia mpaka kocha Juma Mgunda anaachwa na kutopewa timu Ina maana viongozi wamesahau mchango wa Juma Mgunda ndani ya Simba sc !?
Kwa Simba sc kudondosha point mbili muhimu dhidi ya Namungo Fc wakulaumiwa ni viongozi na si vingine.
Tukubal tukatae Juma Mgunda Ni moja ya makocha wazuri wazawa ndani ya ligi yetu.
View attachment 2812978
Sawa.huyo ni mganga wa kienyeji sio kocha
Acheni ramli za kipuuzi. Anafungwa Guardiola simbuse Mgunda? Tatizo la vijana wengi wa bongo wameanza kushabikia mpira juzi. Unataka Simba washinde kila mechi, league ya nini sasa.Nilishangazwa kuona timu anakabidhiwa Daniel Cadena ambaye ni kocha wa makipa wakati Kuna kocha mbobevu na mwenye uzoefu mkubwa katika michuano ya ndani na kimataifa si mwingine ni kochaJuma Mgunda.
inakuache kocha wa Makipa anakabidhiwa timu?!
Nini kipo nyuma ya pazia mpaka kocha Juma Mgunda anaachwa na kutopewa timu Ina maana viongozi wamesahau mchango wa Juma Mgunda ndani ya Simba sc !?
Kwa Simba sc kudondosha point mbili muhimu dhidi ya Namungo Fc wakulaumiwa ni viongozi na si vingine.
Tukubal tukatae Juma Mgunda Ni moja ya makocha wazuri wazawa ndani ya ligi yetu.
View attachment 2812978