mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Afya ya akili ni tatizo kubwa sana. Tusichukulie poa.Halo ka Barbara sikapendi kama nini, sijui kanasubili nini kuachia ngazi na January ndio hii
Ameleta kocha mpya eti kisa tu huyo kocha aliwahi kuifunga yangaNani anaweza kupambana na mzungu pale Simba?? Kama mwenyekiti wao tu ni darasa la VII icho kizungu cha kuongea na Dejan mzungu atakitolea wapi??
Ameleta kocha mpya eti kisa tu huyo kocha aliwahi kuifunga yanga
Simba sio wajinga wajinga kama wengine. Dejan alitengenezewa tukio ili yeye ndio avunje mkataba na hivyo kuiepusha Simba kuingia matatani. Kwa ufupi hatua zilizochukuliwa ni hizo za kumlazimisha mchezaji avunje mkatabaWakuu kwema?
Uongozi wa timu ya Simba S.C kupitia mtendaji mkuu ndugu Barbara ulisema utamchukulia hatua kali Dejan mzungu kwa kuvunja mkataba na klabu.
Hukapendi kwa sababu gani? Hebu tufafanulie kidogo. Kamekufa nini hasa hako ka Barbara?Halo ka Barbara sikapendi kama nini, sijui kanasubili nini kuachia ngazi na January ndio hii
Kupitia haya maelezo yako, basi hiyo timu yako ya simba itakuwa inaendeshwa kienyeji sana!Simba sio wajinga wajinga kama wengine. Dejan alitengenezewa tukio ili yeye ndio avunje mkataba na hivyo kuiepusha Simba kuingia matatani. Kwa ufupi hatua zilizochukuliwa ni hizo za kumlazimisha mchezaji avunje mkataba
Ukiendesha soka kistaarabu bongo utavuna mabua. Unamuamini kocha, anakusajilia magarasa halafu yeye anaacha kazi anakuachia wachezaji. Sasa njia pekee ni hiyo, piga tukio mchezaji akasirike, avunje mkataba, wewe ujidai umekasirika kumbe unachekea chooniKupitia haya maelezo yako, basi hiyo timu yako ya simba itakuwa inaendeshwa kienyeji sana!
Shangaa nawewe mkuu. Yaani timu ya wahunihuni tu hiiKupitia haya maelezo yako, basi hiyo timu yako ya simba itakuwa inaendeshwa kienyeji sana!
Yaani mnavunja mkataba na mchezaji kwa kumtengenezea matukio?
Yaani mwendo wa mikuki tu sasahivi.. mkilala Mishale, mkiamka mshale paka mtuambie zile bil 20 za mchongo ziko wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani shabiki wa utopolo anauliza mambo ya simba
Mtateseka sana mwaka huu
Sasa endelea na ustaarabu, Morrison ataomba ruhusa kila mara, ukimgusa tu anavunja mkataba. Halafu yule ambaye hana msaada havunji mkatabaShangaa nawewe mkuu. Yaani timu ya wahunihuni tu hii
mbumbumbu wa moto huyoKupitia haya maelezo yako, basi hiyo timu yako ya simba itakuwa inaendeshwa kienyeji sana!
Yaani mnavunja mkataba na mchezaji kwa kumtengenezea matukio?
Huna jipya dogo kakojoe ulale mcheza uchi fcYaani mwendo wa mikuki tu sasahivi.. mkilala Mishale, mkiamka mshale paka mtuambie zile bil 20 za mchongo ziko wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza Simba hawajawahi kusema watamchukulia hatua za kisheria bali walisema watachukua hatua stahiki.Wakuu kwema?
Uongozi wa timu ya Simba S.C kupitia mtendaji mkuu ndugu Barbara ulisema utamchukulia hatua kali Dejan mzungu kwa kuvunja mkataba na klabu.
Imepita miezi mingi sasa tunaona kimya na paka ndugu Barbara anataka kuachia ngazi, Je hamuoni ni wakati sahihi uongozi wa Simba ukatupa majibu ya ni hatua gani walichukua kwa Mzungu ili iwe fundisho kwa wachezaji wengine?
Au tuendelee kuamini kuwa pale Simba viongozi wenye weledi hakuna na wamejaa wapiga dili tu?View attachment 2475405