Uongozi wa songea boys wafanya uonezi wa kupindukia kwa wanafunzi

Mtoa mada.
Huwa unavuta bhange?
Mpeleke milembe huyo dogo ako,kule sio simu tuu,hata bisibisi kuwa nayo ni ruksaaaaa
 
Kaka we ulikuia mtoto wa mama pale temu ya kwanza nilipata shida hiyo nilivorudi nikatafuta kacheo kangu ka kuzugia basi hizo kwangu kero nlikua nazisikia kwa watu, kilanja akileta za kuleta we ndo unamwazibu kabla hajakupeleka kwa nyanvi, nimesoma boys pamoja na fujo zangu sijawai onywa hata na mwalimu wa darasa, nilikua azimio5 boys peponi
 
Pole sana.
Huo ni uonezi.
Nadhani ni vema kulifikisha suala hilo bodi ya shule

nimesoma boys, ni marufuku kukutwa na sm, so hivyo vingine ni sehemu ya cm, uongozi wa shule wapo sahihih. Watoto siku hz hawasomi kabisa, muda wote ni fesibuku, kusearch material hata kama vitabu vipo na kuchati na wapenzi usiku kucha. Namshauri awe na rafiki ulokoni kule ili akapige sm. Pia walimu wa sasa ni washkaji tu, ukimuomba uwasiliane na ndugu anakupa yake.
 
Haujaonewa kwani hujui Kama MWANAFUNZI wa primary au secondary haruhusiwi kuingia na cm skuli? Mnapenda kuwaona walimu ni watu wenye makosa tu na ndio maana elimu inashika tz bcs mnawathamini sana watoto na kuwadharau walimu
Mkuu usikasirike mtoto wako ndo mkosa na kusimamishwa ni kupewa adhabu tu bcs adhabu ya viboko cku hizi hairuhusiwi
 

kwenda twn na unifom ndo mambo yalinishnda,roll call karb kila mda,ila maisha uboyzn hayakua mabaya.
 
Nakwambia wewe ndo ulikua muoga mi mda wote nipo kiraia na mambo yanaenda sema we ulishindwa jipanga kacheo kangu kalisaidia
kwenda twn na unifom ndo mambo yalinishnda,roll call karb kila mda,ila maisha uboyzn hayakua mabaya.
 
Hivi wangekutwa na Condom wangepewa adhabu sawa na kushiriki Vitendo vya Ngono na Uasherati? Rejea kwenye Join Instructions za shule kama wamesema ni marufuku kuwa na Simu au pamoja na Phone Accessories? Anzisha ligi maana chanzo cha sheria yoyote Duniani ni Ubishi/Ligi, Kuna Mama mmoja miaka ya Nyuma huko Dodoma aliwahi kumshitaki Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kwa kumkamata kwa kuuza Vitumbua lakini alijitetea kuwa Tangazo lilikataza Maandazi,Chapati, Sambusa mwishoni hawakuweka n.k, akajitetea kuwa wa Vitumbua hahusiki na hilo Tangazo kwani hakuna alipotajwa! Waliosomea Shahada ya Sheria wanaifahamu kesi hii Maarufu.
 
nakwambia wewe ndo ulikua muoga mi mda wote nipo kiraia na mambo yanaenda sema we ulishindwa jipanga kacheo kangu kalisaidia
nyamvi alikua anapena anasema' mi ndo baba yenu ingawa siwajui mama zenu'. Box 2 2008_2010.
 
Wala hawajakosea, ingekuwa zile shule za Seminary wala wasingesimamishwa masomo, wangetimuliwa jumla.

Tufike wakati tufuate na tutende kwa kufuata sheria na taratibu!
 

Huwezi kuandika vizuri zaidi ya hivyo ulivyoandika?

Elewa kuwa hapo uongozi umewapa adhabu laini sana kwani vitu kama "lain, betr, charger nk" ni vya kutengezea mabomu. Walikuwa wahukumiwe kunyongwa kabisa.

Hao wanafunzi na vitu kama hivyo ni vya nini?
 
Sweke ndo kafatia kwa nyanvi au co?? Daa ile shule ni nzuri sana kama chuo mwanafunzi unafanya utakalo kama vile upo chuo kikuu
ya sweke hujayapata mkuu huyo hata ukipita kwenye 38 umeumia
 
Mkanye mdogo wako azingatie masomo, simu atazikuta tu. Nawapongeza walimu kwa kukazania suala zima la utoaji elimu na kuondoa vinavyosababisha watoto kuondoa umakini, mf simu
 
ukicheka na nyani utavuna mabua,asyefunzwa na mAMAYE hufunzwa na ulimwengu,huyo mdogo wako katoka zake shule za vilaza huko ambako wanaenda na daftari moja wameweka kwenye mfuko wa suruali,head phones masikioni.milegezo kwa sana, simu tatu hadi nne kama mfanyabiashara wa Dubai,ndiyo mnampeleka shule smart kama Box 2? hizo simu anampigia nani huko? kaka mtu na huyo mdogo mtu ni wajinga tu,ndiyo maana watoto siku hizi hata Division I hazipatikani kwaajili ya wazazi kutetea ujinga kama huu badala ya kuungana na walimu kudumisha maadili,unatuletea upumbavu tu hapa,kama mwanao sijui mdogo wako unataka asome kama yuko peponi mtafutie shule yenye ujinga kama huo,vinginevyo wenye kutaka kusoma waachiwe wasome. ------- mkubwa.








[








QUOTE=DR. MWAKABANJE;8636728]Ndugu wanaJF habarini za weekend? Bila shaka mu wazma wa afya njema! Kuna jambo limetokea kwnye shule ya wavulana mbali na kwamba mdogo wangu naye na mhanga wa tatizo hilo pia naona ni kinyume kabsa na taratibu za malezi kw wanafunzi na pia ni uonezi wa hali ya juu! Ni hv kwa maelzo ya mdog wang jumanne iliyopta walmu waliwanya upekuz wa sim,laini, betr au kitu chocht kisichoruhsw na wapo walioptkn na sim, lain, betri, chaja nk na uongz wa shule umeamua kuwasmamsha masom kutkn na kuktw na vfaa hvyo sina tatzo na alyepatkn na sm lakn lain, betr, charger nk ni uonevu wa hali ya juu labd wahusk watusaidie kwn sheria zinasemaje na kabl hatujafk huko watuonyesh joing instrunctions zao! BIG RESULTS MPOOOOO![/QUOTE]
 
ukicheka na nyani utavuna mabua,asyefunzwa na mAMAYE hufunzwa na ulimwengu,huyo mdogo wako katoka zake shule za vilaza huko ambako wanaenda na daftari moja wameweka kwenye mfuko wa suruali,head phones masikioni.milegezo kwa sana, simu tatu hadi nne kama mfanyabiashara wa Dubai,ndiyo mnampeleka shule smart kama Box 2? hizo simu anampigia nani huko? kaka mtu na huyo mdogo mtu ni wajinga tu,ndiyo maana watoto siku hizi hata Division I hazipatikani kwaajili ya wazazi kutetea ujinga kama huu badala ya kuungana na walimu kudumisha maadili,unatuletea upumbavu tu hapa,kama mwanao sijui mdogo wako unataka asome kama yuko peponi mtafutie shule yenye ujinga kama huo,vinginevyo wenye kutaka kusoma waachiwe wasome. ------- mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…