Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Jana, Tanzania Prisons ilicheza na Somba katika mechi ya ligi (bahati nzuri huku nilipo umeme ulichukuliwa) na matokeo ilifungwa 3-1.
Leo katika kufuatilia toka kwa wachambuzi wetu(!!!) nimesikia kocha wake wakati wa mahojiano baada ya mechi akilalamika kuwa wachezaji wake hawamuelewi anapowaelekeza.
Hili ni tatizo kubwa na ni kukiri kushindwa kuiongoza timu ni ushauri wangu kwa uongozi wa timu hiyo kumtafuta kocha mwengine mapema kabla jahazi halijazama lote.
Leo katika kufuatilia toka kwa wachambuzi wetu(!!!) nimesikia kocha wake wakati wa mahojiano baada ya mechi akilalamika kuwa wachezaji wake hawamuelewi anapowaelekeza.
Hili ni tatizo kubwa na ni kukiri kushindwa kuiongoza timu ni ushauri wangu kwa uongozi wa timu hiyo kumtafuta kocha mwengine mapema kabla jahazi halijazama lote.